Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

Vibibi ushungi vya JF vina jifariji ***** wallah ajuza 1&2 kwenye moja na mbili pale hatariii 🔥
 
Hizi propaganda tulianza nazo kitambo sana. Na bado israel wameendelea kutuchapa tu na kuharibu miji yote . Al Jazeera wanaongea wakiwa wana wataalamu. Sisi huku toka mwanZo tunaaminishana kwa propaganda.

View attachment 3164178
Kwanini Usa aweke hio pressure? Ingekua Israel wanashinda Usa angeweka hio pressure?

Rudi nyuma tetesi ya Waziri na Netanyahu kutofautiana na hadi waziri kufukuzwa ni Waziri kumwambia ukweli Netanyahu kwamba wanaisha Lebanon wanapigwa kule. Imefika stage mpaka wanajeshi wa reserve wakawa wanaitwa sio siri.

Israel anapigana Frontline nyingi why Usa waweke pressure specific Kwa Hezbollah na sio Houth, Gaza, Syria na kwengineko?
 

 
Heshima pekee kwa Hizbollah ni kukubali kufa kwa ajili ya watu wa Gaza na Palestina kwa ujumla.

Hizbollah wangeamua tu kutumia resource zao kula bata huku na kule duniani, lakini walijitoa kutumia rasirimali zao kwa ajili ya watu wa Gaza na Lebano mpaka hata kuuwawa Kwa kiongozi wao na makamanda wao kadhaa.
 
Mnaoshabikia vita mnajiona kama mnajua sana kumbe ni upuuzi tu.yale magofu yaliyopo kule Lebanon na Hasa mnaona ni ufahari sana.acheni kushabikia Udini kwani madhara yake ni mabaya.kuweni makini na hayo mambo na acheni ushabiki wa kipuuzi
 
Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo
Tukubali ukweli ALLAH kachemka! Anashindwa hata kuwatetea wanawake na watoto! Mifano ni hii:

Women and children among victims of Israel’s attacks in Lebanon​

Death toll from Israeli attacks on Lebanon surpasses 3,000: Health Ministry​


Lebanon local official says 19 killed in Israeli strike on family's home​


Nearly 600 killed, including women and children, in Lebanon attacks.​


Lebanon’s Growing Civilian Death Toll Includes Children and Rescue Workers​



ALLAH,ALLAH,ALLAH UPO WAPI??????????
 
Mazayuni wamechapika vibaya sana na Hizbullah.
Makamanda wote wa kizayuni wameuwawa hakuna aliyebaki hata mmoja.Hata waliobaki wanaishia kukataa kuwa viongozi wa kizayuni.
Allah awawie radhi makamanda wa kizayuni akina Nasrallah na wenziake waendelee kufurahia bikra zao huko Jannat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…