Tutabaki kubwabwaja tu wakenya wana roho mbaya huku wenzetu wakipeta tu na kuwafikia hatuwezi. Tunajitia mamikosi wenyewe kwa kupiga na kuua watu na chuki za ki******
Kuwafikia katika jambo gani?, njaa, rushwa, ukabila, mauaji yasiyokuwa na kikoma, ukosefu mkubwa wa ajira, slums, ugaidi, ukame, kudhulumiana ardhi?, tujulishe kuwafikia katika jambo gani?