Netanyahu atinga mjini! Aacha ujumbe mzito..

Tutabaki kubwabwaja tu wakenya wana roho mbaya huku wenzetu wakipeta tu na kuwafikia hatuwezi. Tunajitia mamikosi wenyewe kwa kupiga na kuua watu na chuki za ki******
Kuwafikia katika jambo gani?, njaa, rushwa, ukabila, mauaji yasiyokuwa na kikoma, ukosefu mkubwa wa ajira, slums, ugaidi, ukame, kudhulumiana ardhi?, tujulishe kuwafikia katika jambo gani?
 
Netanyahu, kiongozi wa nchi mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani - utafiti.
Nonsense, hakuna kitu kama IQ, ni propaganda tu ya kuhalalisha white men are better than black men.
Na hiyo propaganda imefanya kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…