Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
mi ni baba yako.Dogo mbona povu linakutoka??? Najua ni ngumu kumeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi ni baba yako.Dogo mbona povu linakutoka??? Najua ni ngumu kumeza
Kuwafikia katika jambo gani?, njaa, rushwa, ukabila, mauaji yasiyokuwa na kikoma, ukosefu mkubwa wa ajira, slums, ugaidi, ukame, kudhulumiana ardhi?, tujulishe kuwafikia katika jambo gani?Tutabaki kubwabwaja tu wakenya wana roho mbaya huku wenzetu wakipeta tu na kuwafikia hatuwezi. Tunajitia mamikosi wenyewe kwa kupiga na kuua watu na chuki za ki******
Nonsense, hakuna kitu kama IQ, ni propaganda tu ya kuhalalisha white men are better than black men.Netanyahu, kiongozi wa nchi mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani - utafiti.