Netanyahu, mfano wa mfalme Daudi, ametoka kabila la Yusufu

Netanyahu, mfano wa mfalme Daudi, ametoka kabila la Yusufu

Ukija mbele unajipiga kifua na hoja kwamba uislam siyo monotheistic religion nakuona pimbi TU usiyejua kitu na sihitaji kujadili nawe
Mzee Monotheistic ya Uislam, Ukristo na Judaism ipo kwenye theory tu. Lakini kwenye uhalisia dini hizo ni monolatry or henotheism.

Kama mgekuwa mna mnaabudu Mungu mmoja msingekuwa na mashaka kuhusu Shetani. Msingekuwa na Mashaka kuhusu Ulimwengu wa giza.

Dig Deep Down uelewe.
 
Henotheism is the belief in and worship of one god without denying the existence of other gods.
 
Monolatry is the worship of one god without denying the existence of other gods.
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Halafu achaga uongo aliyoshiriki operation ya uganda ni kaka yake siyo yeye , elimu huna unaandika habari za kijiweni
 
Huu mkwara wa Hizbollah kuwa wanauwezo wa kupiga tech Industry, Food processing plants na viwanda kibao vya Israel lazima Israel agwaye. Maana ni kweli Israel inaweza kuichakaza lebanon lakini nayo itapata hasara kubwa sana za miundo mbinu ya kiuchumi
Afu Hezbullah anasema wao hata wavunjiwe majumba yote na Israel lazima tuyavunje majumba yote sababu silaha wanazo. Unapinga Raia tunapia Raia, unavunja majumba tuna vunja majumbo safari hi Israel kaukalia pabaya.
 
Al-Qisas haqq.
Kisasi ni haki.
Jino kwa Jino
Mtu kwa mtu
Mume kwa mume
Mke kwa Mke

Hapo Mazayuni ndo wataelewa somo.
Wanaua 100 mnaua 100
 
Al-Qisas haqq.
Kisasi ni haki.
Jino kwa Jino
Mtu kwa mtu
Mume kwa mume
Mke kwa Mke

Hapo Mazayuni ndo wataelewa somo.
Wanaua 100 mnaua 100
Tofauti na dini nyingi

Wayahudi hawaamini moto wala zawadi ya peponi kama wengine kwa hiyo wakisikia Waislam wanapewa mabikira wanaona Waislam kama vichaa, kwa hiyo wanaua.

Musa aliwafundisha, Damu kwa Damu, Jicho kwa Jicho wayahudi hawaamini kitubio/kutubu dhambi kwao ni Kuomba msamaha baada ya kutenda dhambi ni kumtukana mungu wakisikia eti unamuachia mungu kisasi chako au unasemehe wanakuona Katili.

Wayahudi kwa Ukatili ni mara 1M ya watu unaowajua
 
Hii vita ilikwisha tabiriwa na manabii wakuu Danieli na Ezekieli. Kinachosubiriwa kutokea rasmi kwa vita hii na matokeo yake ili ile nguvu ya uasi ipate ruhusa ya kuitawala dunia kwa muda wa miaka saba.

Vita hii si ya kuishangilia hata kidogo. Itakwenda kubadirisha mifumo yote ya maisha duniani kote. Mifumo yote ya kiuchumi, kisiasa, kijamii ikiwemo hata ya kidini itaathirika.

Ukiona makubaliano mapya yamefikiwa kati ya Israel na mataifa mengine ya Kiarabu katika eneo hili la Middle East, na huku Israel ikipewa haki ya kujenga hekalu la tatu katika eneo la Mount Moria. Bssi tambua ya kwamba muda umekwisha kabisa.

Muda ukaribu kwa wote wale wanao muabudu Mungu katika roho na kweli kuingia katika taabu, shida, na mashaka mengi. Wale wenye kumkiri Kristo kama Bwana na Mwokozi wao watapitia katika dhiki kuu.

Na dini ya Kiislamu itasimama kama dini moja na ya kipekee ya kidunia, na Mahdi akiwa ndiye mtawala wa dunia, yaani Mpinga Kristo, ambaye atalazimisha wote wakaao duniani wamuabudu yeye kama ndiye mungu, huku akitenda miujiza mikubwa na huku akiwa ndiye mtawala pekee mwenye madaraka na mamlaka ya juu kabisa ya dunia yote nzima.
Beware!
Mbenge umekunywa mbege
 
Mzee Monotheistic ya Uislam, Ukristo na Judaism ipo kwenye theory tu. Lakini kwenye uhalisia dini hizo ni monolatry or henotheism.

Kama mgekuwa mna mnaabudu Mungu mmoja msingekuwa na mashaka kuhusu Shetani. Msingekuwa na Mashaka kuhusu Ulimwengu wa giza.

Dig Deep Down uelewe.
Uislam una shaka na shetani au ulimwengu wa giza!?..
 
N
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
NYie ndio mnaofanya watu weusi tudharaulike duniani
 
Hapo mwisho umechanganya kidogo! Benyamin hakuwahi kushiriki operation ya kuokoa mateka Entebe Uganda! Aliyeshiriki ni kaka yake Yonathan Netanyahu.
Katika operation hiyo aliuawa na snipper! Operation ilikuja kuitwa Operation Yoni kwa heshima yake.
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Inakuhusu nini mbwiga wewe eti ni wa kabila la Daudi maku kweli we jamaa
 
Back
Top Bottom