Netanyahu na HAMAS katika siku 2 Muhimu za Tafakuri

Netanyahu na HAMAS katika siku 2 Muhimu za Tafakuri

Madiba alikuwa anapigania Nchi yake iliyochukuliwa na Walowezi wa Kizungu Israeli inapigania Nchi yake iliyochukuliwa na Walowezi wa Kiarabu.

Usichanganye mambo.
Huoni kuwa hii ni kinyume chake?
 
Huoni kuwa hii ni kinyume chake?
Wakanani "Wapalestina" walikuwa wakiongea Kikanani Waisraeli Wahibru walikuwa wakiongea kihibru hawa Waarabu wa leo hapo ni wavamizi kutoka Hejaz katika Karne ya saba.
 
Katika hii vita ni binadamu wangapi wametangulizwa mbinguni, na je muumba hakasirishwi na hili jambo akaleta angalau garika kama zile za kwenye biblia?
 
Katika hii vita ni binadamu wangapi wametangulizwa mbinguni, na je muumba hakasirishwi na hili jambo akaleta angalau garika kama zile za kwenye biblia?

Bila kuwasahau watoto wadogo, wagonjwa, waliomo na wasiokuwamo.
 
Wakanani "Wapalestina" walikuwa wakiongea Kikanani Waisraeli Wahibru walikuwa wakiongea kihibru hawa Waarabu wa leo hapo ni wavamizi kutoka Hejaz katika Karne ya saba.

Haya yasiyojulikana Hadi UN huko, umeyaokota wapi?
 
Mkuu tofautisha Israel kama nchi na Jews wa hahudi ni the diaspora, hata Ethiopia kuna wa yahudi ila sio wa Israel, Russia Germany Austria Italy US kuna wayahudi wengi ila sio wa Israel buden pia anavinasaba vya kiyahudi ila sio muisrael.........Israel ni nchi inao tegemea msaada kutoka kwa wafanya biashara wa kiyahudi, haina tofauti kubwa na TZ inacho tuzidi ni uongozi na utawala wa democrasia, ila nengine tunaizidi.
ETi buden, buden ndio nani wewe chaliii

Kama unamaanisha biden ,bas ujue Biden ana asili ya Ireland.
 
ETi buden, buden ndio nani wewe chaliii

Kama unamaanisha biden ,bas ujue Biden ana asili ya Ireland.
Just shutup hujui unalo sema kwani ireland ni ethinicity au nchi hilo alimzuii kua na vinasaba vya kiyahudi.
 
1. Haina shaka Marekani ndiye anayempa kibri Israel.

2. Haipo shaka UK ni chawa kindaki ndaki wa Marekani.

3. Hawa kina Saudia na kina Qatar ni kama kina ACT wazalendo Lucas Mwashambwa, nk tu wakwetu; (Mag3, JokaKuu, imhotep, WALOLA VUNZYA, Elli na makamanda wengine wa ukweli) kwenye kupigania kwetu katiba mpya.

4. Pamoja na mapungufu yao, kina ACT na wa namna hiyo, hao hawawezi kuzuia lolote!

5. Kutokea hapo #4, Gaza wamekwisha fanya sehemu yao, kama Israel atafanya lolote Raffah itakuwa muda sahihi wa Iran kupanda ulingoni.

6. Kwa hakika hapo itakuwa halali kama ilivyo kula nguruwe kwa angalau kuchagua aliyenona!

Au nasema uongo ndugu zangu?

..Nini nafasi ya WAAFRIKA ktk mgogoro wa Waisraeli vs Wapalestina?

..Nini nafasi ya WATANZANIA ktk mgogoro wa Waisraeli vs Wapalestina?

..Nadhani tunapaswa kujielekeza kwenye jambo letu, nalo ni KATIBA MPYA.

..sijawahi kusikia Muisraeli, wala Mpalestina, akitutetea Watanzania ili tupate Katiba Mpya.

..Kama tunataka kujihusisha na migogoro ya nje ya mipaka yetu tuanze na hii ya majirani zetu wa DRC, na Msumbiji.

..Jana Tanzania tumepoteza askari watatu waliokuwa DRC lakini vyombo vyote vya habari vimeelekea kwenye mapokezi ya Makonda.
 
Alone vipi huyo ndugu yangu na huyo ndiye mawazo Bora kabisa anataka katiba mpya.
Kutaka kwangu katiba ni obligation yangu kama Mtanzania lakini hainifanyi nifuate mkumbo wa mawazo ya wengine hata kama sikubaliani nayo.
 
Acha dharau mkuu au Tanzania huijui unaweza ukalinganisha Tz na Rwanda ambao ni kama mkoa wa Tabora GDP $9bn watu 11m na TZ yenye GDP $62bn na watu 65m.........Tz inacho kosa ni viongozi wenye maono na ufisadi pamoja na wizi, Israel kama Israel bila msaada wa US na EU na UK inatuzidi nini? Tukirekebisha kasoro zetu
Africa tunaweza tambo tu....majisifu mengi yasiyo na maana hata toothpick hatuwezi...eti tunajifananisha na watu wanaogundua teknolojia mpya kila siku. Tukubali kama tumekwama na tuanze upya labda hapo tutapona. Tunaitwa shithole si bure. Umeshazunguka duniani kidogo ukaona wenzetu walivyotuacha?
 
..Nini nafasi ya WAAFRIKA ktk mgogoro wa Waisraeli vs Wapalestina?

..Nini nafasi ya WATANZANIA ktk mgogoro wa Waisraeli vs Wapalestina?

Mkuu nikiacha haya kukwambia hili sitakuwa nimekutendea haki:

1. Kina Nyerere hawakuwa wenda wazimu kupigana kote kusini mwa Africa Kwa ajili ya uhuru wao.

2. Kina Nyerere, Mandela, Castro, Gaddafi na wa namna hiyo hawakuwa wajinga kuunga mkono ukombozi zaidi ya nchi zao Hadi Palestina huko.

3. Zaidi sana kama unadhani nguli huyu:

CheHigh.jpg


Kupigana hadi congo na kufia ugenini ni mjinga ila werevu ni wenye mawazo kama wewe, kwa hakika kumbe tuna tatizo kubwa zaidi
..Nadhani tunapaswa kujielekeza kwenye jambo letu, nalo ni KATIBA MPYA.

..sijawahi kusikia Muisraeli, wala Mpalestina, akitutetea Watanzania ili tupate Katiba Mpya.

1. Kudhani muisraeli kama alivyokuwa kaburu afrika kusini atutakie jema sisi sina hakika kama tunayo mawazo ya kibimadamu au la.

2. Kumtaka mpalestina atuelewe kuwa tuna tatizo na katiba mpya ambapo (achilia mbali kuwa kujitambua kwenyewe ndiko huku) akiwa anauwawa kutwa kucha, labda kama ni kutegemea damu tokea Kwa marehemu.

3. Katiba mpya haiwezi kupiganiwa kutokea hewani; bila kuwa na Imani:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

4. Kwamba hatujui tunaamini nini ndiyo maana hata mwingine mwenye cause kama yetu tumwelewe vipi? Si kuwa tuko kimaslahi maslahi zaidi?

5. Ni wazi kuwa kwa jinsi tulivyo kimaslahi haipo katiba mpya, ila ya kupewa na CCM.

..Kama tunataka kujihusisha na migogoro ya nje ya mipaka yetu tuanze na hii ya majirani zetu wa DRC, na Msumbiji.

..Jana Tanzania tumepoteza askari watatu waliokuwa DRC lakini vyombo vyote vya habari vimeelekea kwenye mapokezi ya Makonda.

1. NI muhimu kutambua suala si kushughulika na migogoro. Tatizo, ni migogoro ipi? Vinginevyo hata ya mafumanizi nayo ni migogoro ndugu.

2. Hata mahakamani si Kila wakili serious angekubali, kwa mfano kuchukua kesi yoyote.

3. Hapa kwenye "Kwa Imani ipi?" Hadi itakapoeleweka, mtaendelea sana kupigania maokoto tu kama ilivyo sasa. Zingatia yaliyotokea Mbeya #1, na squabbles baina ya vyama na katika vyama.

4. Wanajeshi kufa Kongo Linganisha na Lijenje, Azory, Mawazo, Ben na wa namna hiyo; unadhani labda tuanzie wapi? Hivi kina Lijenje hata wanakumbukwa? Ningetegemea uwakumbuke hao kwanza ndugu kama ndivyo!

5. Tusijiulize hata huko congo huo mgogoro unahusu nini? Si kuwa ni kumpigania Tshisekedi mwizi wa kura kama wezi wetu walioko hapa hapa?

NB: Hatutapata katiba mpya kama mvua Bali kwa kuipigania. Ikibidi kama mwonewa mwenzetu Palestina anavyofanya - Kwa vitendo!

Elli, Proved, Msanii na makamanda watukuka, kulikoni hawa ndugu kuwaacha wakipotelea gizani, kusikojulikana?
 
Mkuu nikiacha haya kukwambia hili sitakuwa nimekutendea haki:

1. Kina Nyerere hawakuwa wenda wazimu kupigana kote kusini mwa Africa Kwa ajili ya uhuru wao.

2. Kina Nyerere, Mandela, Castro, Gaddafi na wa namna hiyo hawakuwa wajinga kuunga mkono ukombozi zaidi ya nchi zao Hadi Palestina huko.

3. Zaidi sana kama unadhani nguli huyu:

View attachment 2958723

Kupigana hadi congo na kufia ugenini ni mjinga ila werevu ni wenye mawazo kama wewe, kwa hakika kumbe tuna tatizo kubwa zaidi


1. Kudhani muisraeli kama alivyokuwa kaburu afrika kusini atutakie jema sisi sina hakika kama tunayo mawazo ya kibimadamu au la.

2. Kumtaka mpalestina atuelewe kuwa tuna tatizo na katiba mpya ambapo (achilia mbali kuwa kujitambua kwenyewe ndiko huku) akiwa anauwawa kutwa kucha, labda kama ni kutegemea damu tokea Kwa marehemu.

3. Katiba mpya haiwezi kupiganiwa kutokea hewani; bila kuwa na Imani:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

4. Kwamba hatujui tunaamini nini ndiyo maana hata mwingine mwenye cause kama yetu tumwelewe vipi? Si kuwa tuko kimaslahi maslahi zaidi?

5. Ni wazi kuwa kwa jinsi tulivyo kimaslahi haipo katiba mpya, ila ya kupewa na CCM.



1. NI muhimu kutambua suala si kushughulika na migogoro. Tatizo, ni migogoro ipi? Vinginevyo hata ya mafumanizi nayo ni migogoro ndugu.

2. Hata mahakamani si Kila wakili serious angekubali, kwa mfano kuchukua kesi yoyote.

3. Hapa kwenye "Kwa Imani ipi?" Hadi itakapoeleweka, mtaendelea sana kupigania maokoto tu kama ilivyo sasa. Zingatia yaliyotokea Mbeya #1, na squabbles baina ya vyama na katika vyama.

4. Wanajeshi kufa Kongo Linganisha na Lijenje, Azory, Mawazo, Ben na wa namna hiyo; unadhani labda tuanzie wapi? Hivi kina Lijenje hata wanakumbukwa? Ningetegemea uwakumbuke hao kwanza ndugu kama ndivyo!

5. Tusijiulize hata huko congo huo mgogoro unahusu nini? Si kuwa ni kumpigania Tshisekedi mwizi wa kura kama wezi wetu walioko hapa hapa?

NB: Hatutapata katiba mpya kama mvua Bali kwa kuipigania. Ikibidi kama mwonewa mwenzetu Palestina anavyofanya - Kwa vitendo!

Elli, Proved, Msanii na makamanda watukuka, kulikoni hawa ndugu kuwaacha wakipotelea gizani, kusikojulikana?

..Nyerere alijali majirani na Waafrika kama Msumbiji, Zimbabwe, etc.

..Msimamo huo kuhusu hali ya Waafrika ulimpa " udhu " wa kupigania na kuwasemea waliokuwa nje na mbali ya Afrika.
 
Kutaka kwangu katiba ni obligation yangu kama Mtanzania lakini hainifanyi nifuate mkumbo wa mawazo ya wengine hata kama sikubaliani nayo.

1. Unadhani katiba mpya itapiganiwa kwa mkumbo?

2. Itijadi ndiyo inayotakiwa kukusukuma kupigania kitu si wewe!

3. Hicho ndicho kilichowapelekea kina Nyerere kwenye vita vya ukombozi.

4. Nyerere angekuwapo Leo angepigania katiba mpya.

5. Kwa jinsi mlivyo, tusubirie tu katiba ya kupewa na ma CCM kama yatakavyoona yenyewe inafaa.

6. Katiba mpya haipaganiwi Kwa maslahi tumbo.

7. Ukielewa nguvu ya Imani utajua Kwa nini kina Che walikuja kupigana congo na kufia ugenini.

CheHigh.jpg


8. Utajua pia kwanini Che aliondoka Congo badala ya kuendelea na vita.

9. Na watu kama ninyi waliodhamiria haitawachukua muda kutambua mko kimaslahi zaidi.
 
..Nyerere alijali majirani na Waafrika kama Msumbiji, Zimbabwe, etc.

..Msimamo huo kuhusu hali ya Waafrika ulimpa " udhu " wa kupigania na kuwasemea waliokuwa nje na mbali ya Afrika.

1. Nyerere kama Mandela, Castro, Gaddafi, Che na wa namna hiyo (wapigania uhuru) walipigania haki bila kujali wapi; ikiwamo Palestina. Ndiyo maana kulikuwa na ubalozi wa Palestina hapa lakini si Israel Hadi walipokuja mabumunda!

2. Wapigania uhuru yaani haki huunganishwa Kwa itijadi. Ninyi kupigania katiba mpya mnaunganishwa na nini?

3. Ndiyo maana si Zitto, Sauti ya Tanzania, CHAdema, nk; hakuna anayemwelewa mwingine!




4. Nyerere aliwachukia mno wabaguzi wote wakiwamo waafrika.

5. Msimamo wa Nyerere ulitokana na Imani yake. Imani yenu ni ipi?

6. Kwani Che alikuwa mwafrika au hata m-Cuba au hata aluzaliwa central amerika?
 
Back
Top Bottom