Netanyahu na Trump wamechanganyikiwa kuhusiana na Hamas. Imekuwa kaa la moto. Waropokwa ovyo

Netanyahu na Trump wamechanganyikiwa kuhusiana na Hamas. Imekuwa kaa la moto. Waropokwa ovyo

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo.

Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya moyoni yaliyokuwa wameyaficha pale aliposema anataka awahamishe wapalestina na kupajenga upya Gaza.Jambo hili liliwahi kuelezwa mwanzoni mwa vita kwamba Israel ilikuwa na mpango wa kuwahamisha wapalestina kwa ujanja waende Sinai.

Trump katika maelezo yake na kwa kujiamini akasema angewaeleza mfalme Abdallah wa Jordan na raisi Sisi wa Misri ii wawachukue wapalestina wa Gaza. Mbali na viongozi kadhaa wa dunia kushangazwa na tamko hilo viongozi hao wa Jordan na Misri nao walikataa suala hilo. Kuona hivyo Trump akaamua afiche uso wake kidogo japo nia ni hiyo hiyo.

Mara baada ya kuzungumza na Netanyahu naye akarudi na ari mpya ya kuendeleza mpango huo na juhudi mpya na vitisho akaviongeza.

Mark Rubio ambaye amechukua nafasi iliyokuwa ya Blinken katika ziara zake mpya za mashariki ya kati amenuna na kukataa kuzitembelea nchi za Jordan na Misri na badala yake akazungumza na Netanyahu na kudhihirisha kwamba wao wameshindwa kupambana na Hamas.

Rubio akasema jukumu hilo la kupambana na Hamas lichukuliwe na mataifa ya kiarabu kama vile Misrii ili wawashinde Hamas na kuunda serikali itakayoendeshwa na wao bila Hamas.Katika malalamiko yake akizungumza na Netanyahu Rubio alisema kila kitu kitakuwa kigumu kwani Hamas bado wana bunduki.

Ufupisho wa maneno ni kuwa Hamas na wapalesdtina imekuwa ni kaa la moto kwa Trump na Netanyahu.

Wangependa wawamalize na kuendelea na mpango wao walioufichukua lakini tatizo jee ni wapi watawapeleka.
 
Trump anasubiri kumaliza mambo ya Ukraine. Akimaliza huko watu wa Gaza watahamishiwa nchi nyingine kwa nguvu. Itakuwaje sijui!
 
Trump anasubiri kumaliza mambo ya Ukraine. Akimaliza huko watu wa Gaza watahamishiwa nchi nyingine kwa nguvu. Itakuwaje sijui!
Nahofia na mpango wa kuwatilia sumu kwenye chakula kwani kwa suala la kuwahamisha halitawezekana.Hakuna pa kuwapeleka na dunia nzima itakuja juu.
 
Hao wapalestina hata wakibaki hapo Gaza na ukarabati ukafanyika lakini kama wakiendeleza ugaidi wao dhidi ya Israel itabidi kazi irudiwe tena na watakuwa hawajafanya chochote.
 
Hao wapalestina hata wakibaki hapo Gaza na ukarabati ukafanyika lakini kama wakiendeleza ugaidi wao dhidi ya Israel itabidi kazi irudiwe tena na watakuwa hawajafanya chochote.
Inapendeza siku chache hizi hapo middle east angalau pametulia baada ya vichwa vya majoka kukatiliwa mbali. Safi sana.
 
Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo.

Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya moyoni yaliyokuwa wameyaficha pale aliposema anataka awahamishe wapalestina na kupajenga upya Gaza.Jambo hili liliwahi kuelezwa mwanzoni mwa vita kwamba Israel ilikuwa na mpango wa kuwahamisha wapalestina kwa ujanja waende Sinai.

Trump katika maelezo yake na kwa kujiamini akasema angewaeleza mfalme Abdallah wa Jordan na raisi Sisi wa Misri ii wawachukue wapalestina wa Gaza. Mbali na viongozi kadhaa wa dunia kushangazwa na tamko hilo viongozi hao wa Jordan na Misri nao walikataa suala hilo
Kuona hivyo Trump akaamua afiche uso wake kidogo japo nia ni hiyo hiyo.

Mara baada ya kuzungumza na Netanyahu naye akarudi na ari mpya ya kuendeleza mpango huo na juhudi mpya na vitisho akaviongeza.
Mark Rubio ambaye amechukua nafasi iliyokuwa ya Blinken katika ziara zake mpya za mashariki ya kati amenuna na kukataa kuzitembelea nchi za Jordan na Misri na badala yake akazungumza na Netanyahu na kudhihirisha kwamba wao wameshindwa kupambana na Hamas.

Rubio akasema jukumu hilo la kupambana na Hamas lichukuliwe na mataifa ya kiarabu kama vile Misrii ili wawashinde Hamas na kuunda serikali itakayoendeshwa na wao bila Hamas.Katika malalamiko yake akizungumza na Netanyahu Rubio alisema kila kitu kitakuwa kigumu kwani Hamas bado wana bunduki.

Ufupisho wa maneno ni kuwa Hamas na wapalesdtina imekuwa ni kaa la moto kwa Trump na Netanyahu.Wangependa wawamalize na kuendelea na mpango wao walioufichukua lakini tatizo jee ni wapi watawapeleka.
Rubio naona ni mtu anayependa sifa bila uhalisia na mjuaji kuliko
 
The grand master of middle 'fing**' east.. Mister Ayatollah.,Trump kajipelekesha barua kupitia walamba makalio japan, kajibiwa hajadiliani na mafala barua irudi ilikotoka ndio unaona pale imetinkwa matakoni kwa mjapani. Wakimtaka wapeleke Moscow atapigwa simu na Mr. P
 

Attachments

  • IMG_20250218_173044_800.jpg
    IMG_20250218_173044_800.jpg
    65.1 KB · Views: 4
Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo.

Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya moyoni yaliyokuwa wameyaficha pale aliposema anataka awahamishe wapalestina na kupajenga upya Gaza.Jambo hili liliwahi kuelezwa mwanzoni mwa vita kwamba Israel ilikuwa na mpango wa kuwahamisha wapalestina kwa ujanja waende Sinai.

Trump katika maelezo yake na kwa kujiamini akasema angewaeleza mfalme Abdallah wa Jordan na raisi Sisi wa Misri ii wawachukue wapalestina wa Gaza. Mbali na viongozi kadhaa wa dunia kushangazwa na tamko hilo viongozi hao wa Jordan na Misri nao walikataa suala hilo. Kuona hivyo Trump akaamua afiche uso wake kidogo japo nia ni hiyo hiyo.

Mara baada ya kuzungumza na Netanyahu naye akarudi na ari mpya ya kuendeleza mpango huo na juhudi mpya na vitisho akaviongeza.

Mark Rubio ambaye amechukua nafasi iliyokuwa ya Blinken katika ziara zake mpya za mashariki ya kati amenuna na kukataa kuzitembelea nchi za Jordan na Misri na badala yake akazungumza na Netanyahu na kudhihirisha kwamba wao wameshindwa kupambana na Hamas.

Rubio akasema jukumu hilo la kupambana na Hamas lichukuliwe na mataifa ya kiarabu kama vile Misrii ili wawashinde Hamas na kuunda serikali itakayoendeshwa na wao bila Hamas.Katika malalamiko yake akizungumza na Netanyahu Rubio alisema kila kitu kitakuwa kigumu kwani Hamas bado wana bunduki.

Ufupisho wa maneno ni kuwa Hamas na wapalesdtina imekuwa ni kaa la moto kwa Trump na Netanyahu.

Wangependa wawamalize na kuendelea na mpango wao walioufichukua lakini tatizo jee ni wapi watawapeleka.
Bado ndugu kuna lilojificha nyuma ya pazia hatuwezi kulijua kirahisi hivyo. Ni swala la kuvuta subiri tuone kinacho endelea.
 
Bado ndugu kuna lilojificha nyuma ya pazia hatuwezi kulijua kirahisi hivyo. Ni swala la kuvuta subiri tuone kinacho endelea.
Nionavyo pazia limefunuka bila kutaka tumeona ndani.
 
Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo.

Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya moyoni yaliyokuwa wameyaficha pale aliposema anataka awahamishe wapalestina na kupajenga upya Gaza.Jambo hili liliwahi kuelezwa mwanzoni mwa vita kwamba Israel ilikuwa na mpango wa kuwahamisha wapalestina kwa ujanja waende Sinai.

Trump katika maelezo yake na kwa kujiamini akasema angewaeleza mfalme Abdallah wa Jordan na raisi Sisi wa Misri ii wawachukue wapalestina wa Gaza. Mbali na viongozi kadhaa wa dunia kushangazwa na tamko hilo viongozi hao wa Jordan na Misri nao walikataa suala hilo. Kuona hivyo Trump akaamua afiche uso wake kidogo japo nia ni hiyo hiyo.

Mara baada ya kuzungumza na Netanyahu naye akarudi na ari mpya ya kuendeleza mpango huo na juhudi mpya na vitisho akaviongeza.

Mark Rubio ambaye amechukua nafasi iliyokuwa ya Blinken katika ziara zake mpya za mashariki ya kati amenuna na kukataa kuzitembelea nchi za Jordan na Misri na badala yake akazungumza na Netanyahu na kudhihirisha kwamba wao wameshindwa kupambana na Hamas.

Rubio akasema jukumu hilo la kupambana na Hamas lichukuliwe na mataifa ya kiarabu kama vile Misrii ili wawashinde Hamas na kuunda serikali itakayoendeshwa na wao bila Hamas.Katika malalamiko yake akizungumza na Netanyahu Rubio alisema kila kitu kitakuwa kigumu kwani Hamas bado wana bunduki.

Ufupisho wa maneno ni kuwa Hamas na wapalesdtina imekuwa ni kaa la moto kwa Trump na Netanyahu.

Wangependa wawamalize na kuendelea na mpango wao walioufichukua lakini tatizo jee ni wapi watawapeleka.
Uko sawa kabisa na kule SINAI kwanza Misri alijenga ukuta mkubwa wa Waya!!!! Lkn tena iyo SINAI Misri kaifanya kambi ya Jesh!!!!
 
Mmarekani na myahudi wanaitaka Gaza kwa udi na uvumba!
Shambulio la Hamas 7th Oct Israel alishapata taarifa. Akanyuti litokee ajibu kwa kipigo cha kufa mtu na kuwaondoa wapelistina na Hamas once and for all!
Wanaitaka Gaza kwa gesi, mafuta, maji.
Cha kushangaza wameshindwa!
Mpalestina kakomaa, anasema ataishi kwenye matenti, magofu!
USA na Israel wako hoi! Wakiomba msaada uarabuni hola! Wakileta vitisho hola!
Maajabu ya dunia kabisa!
Viva Palestine!
 
Hii itakuwa mpya duniani, Kufuta taifa ambalo Raia wake wapo. Kam mmewashindwa waacheni walivyo. Hawajaomba msaada wowote.

Nawaambia kila siku vita huleta heshima.

Sasa Israel inaanza kukata pumzi, licha ya kuwauwa Hamas wa kutoshga, lakini wanashangaa hawaishi, na Silaha wanazo za kutosha na vita bado wanaitaka.

Wapigane mpaka tone la mwisho, lakini kuwaondoa haitawezekana kabisa.

Karibu FaizaFoxy na FaizaFixy uone Israel na Marekani wamekiri wameshindwa vita rasmi.
 
Back
Top Bottom