Netanyahu na Trump wamechanganyikiwa kuhusiana na Hamas. Imekuwa kaa la moto. Waropokwa ovyo

Netanyahu na Trump wamechanganyikiwa kuhusiana na Hamas. Imekuwa kaa la moto. Waropokwa ovyo

Tusisaau Israel inajiandaa kwa Vita mpya na GAZA uku MAREKANI akiizatiti zaid kwa nyenzo ISRAEL !!!!

Upande wa pili IRAN imeanza upya kutaja Promis no3 kuwa aina muda mlefu !!!

Ndio mana mala kadhaa nilikuwa nasema na kuwajuza kuwa Promis no3 ilikuwa inasubilia Mzigo wa Silaha kutoka MAREKANI kwenda ISRAEL ,

Sababu zipo kazaa IRAN alengi makazi ya Watu Wala visivousiana na JESH yeye Yupo Na mikakati ya KIJESH

kwakuwa mizigo imeanza kuwasili uko ISRAEL ya utekelezaji iyo mipango Halamu ya kuwaamisha Wapalestina Ukanda wa GAZA
waenda MISRI!!

na pia Ukingo wa magharibi maeneo ya WEST BANK awa waende Jordan

IRAN kwasasa anayazoom maeneo muimu yote zinako Ifadhiwa Silaha siku mkisikia kipigo tegemeeni
kuwaambiwa akuna Aliekufa

Sababu IRAN alengi Watu zaid y Kambi za JESH zilipo Silaha aina tofaut!!! Radar tu!!!

lkn mjue kwasasa ISRAEL & MAREKANI Washavurugwa Vibaya na IRAN Baada IRAN juzi kutangaza sasa PROMIS NO3 ipo njiani !!!!

washajua Silaha zao zinaenda Teketezwa na awana uwezo wakuzuiya Shambulizi!!!!! Zinaenda Butuliwa SILAHA zote muimu!!!!

Ndio mana Wanatafuta namna ya kuongea na IRAN pengine wampe Ahadi tamu tamu kupunguziwa vikwazo au kuondolewa kabisa

ili IRAN anyuti kimya kama ayupo Wakianza Unyama wao!!

Na IRAN anajua kwanini anatafutwa kipindi Inchi ndio mana kakataa kabisa Maongezi

IKN IRAN itafanya tukio kubwa huu mwaka kias MAREKANI na ISRAEL Wataogopa na ndio mwisho wa mipango yao kichaaa

PALESTINA itasalimika kwa Uwezo wa Mungu kwakua nguvu za Kitechnology zinamilikiwa na IRAN

milokole mtake msitake lkn huo ndio Ukweli tulionao kwasasa Duniani mkiacha Propaganda zenu,,, Israel ni poyoyo tu IDF na Wajeda wa CONGO awana Tofaut!!!!

Ivi mliwai kujiuliza ingekuwa IDF ndio HAMAS kweli wangesimama ata mwezi mmoja 1 Vitani!!!!

uku awana Msosi awana Hospital awana Maji awana Umeme awana Internet Awawezi kuwasiliana baina yao Awana Ndege za kijesh awana Vifaru awana Air Defences Systems kweli awa WAISRAEL wangepigana vita kishujaa kama HAMAS

acheni porojo porojo kuwasifia Mashoga na Awana Kitu wametuonesha kweli wao WEUPE kutwa kusifiwa kwenye vijiwe vyenu huu ni UNAFIKI WAWAZI na kuwadanganya waumini wenu sasa muwe na aibu nyie watu wazima!!!!!

vip ktk ali kama hii Usijue Mpalestine ni Shujaaa namba 1 Duniani ile mishoga aibebeki waoga wakufa japo wamepewa kila kitu cha kuwasaidia Vitani lkn Wapi!!!!!!!

tumedanganywa sanaaaa kumbe ata Wajeda wa CONGO wakakamavu kuliko waisrael haaaaaa aibu sana!!!! milokole wachungaji povuu Ruksa!!!!
 
Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo.

Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya moyoni yaliyokuwa wameyaficha pale aliposema anataka awahamishe wapalestina na kupajenga upya Gaza.Jambo hili liliwahi kuelezwa mwanzoni mwa vita kwamba Israel ilikuwa na mpango wa kuwahamisha wapalestina kwa ujanja waende Sinai.

Trump katika maelezo yake na kwa kujiamini akasema angewaeleza mfalme Abdallah wa Jordan na raisi Sisi wa Misri ii wawachukue wapalestina wa Gaza. Mbali na viongozi kadhaa wa dunia kushangazwa na tamko hilo viongozi hao wa Jordan na Misri nao walikataa suala hilo. Kuona hivyo Trump akaamua afiche uso wake kidogo japo nia ni hiyo hiyo.

Mara baada ya kuzungumza na Netanyahu naye akarudi na ari mpya ya kuendeleza mpango huo na juhudi mpya na vitisho akaviongeza.

Mark Rubio ambaye amechukua nafasi iliyokuwa ya Blinken katika ziara zake mpya za mashariki ya kati amenuna na kukataa kuzitembelea nchi za Jordan na Misri na badala yake akazungumza na Netanyahu na kudhihirisha kwamba wao wameshindwa kupambana na Hamas.

Rubio akasema jukumu hilo la kupambana na Hamas lichukuliwe na mataifa ya kiarabu kama vile Misrii ili wawashinde Hamas na kuunda serikali itakayoendeshwa na wao bila Hamas.Katika malalamiko yake akizungumza na Netanyahu Rubio alisema kila kitu kitakuwa kigumu kwani Hamas bado wana bunduki.

Ufupisho wa maneno ni kuwa Hamas na wapalesdtina imekuwa ni kaa la moto kwa Trump na Netanyahu.

Wangependa wawamalize na kuendelea na mpango wao walioufichukua lakini tatizo jee ni wapi watawapeleka.
Huu ni UHARO kabisa!!
 
Tusisaau Israel inajiandaa kwa Vita mpya na GAZA uku MAREKANI akiizatiti zaid kwa nyenzo ISRAEL !!!!

Upande wa pili IRAN imeanza upya kutaja Promis no3 kuwa aina muda mlefu !!!

Ndio mana mala kadhaa nilikuwa nasema na kuwajuza kuwa Promis no3 ilikuwa inasubilia Mzigo wa Silaha kutoka MAREKANI kwenda ISRAEL ,

Sababu zipo kazaa IRAN alengi makazi ya Watu Wala visivousiana na JESH yeye Yupo Na mikakati ya KIJESH

kwakuwa mizigo imeanza kuwasili uko ISRAEL ya utekelezaji iyo mipango Halamu ya kuwaamisha Wapalestina Ukanda wa GAZA
waenda MISRI!!

na pia Ukingo wa magharibi maeneo ya WEST BANK awa waende Jordan

IRAN kwasasa anayazoom maeneo muimu yote zinako Ifadhiwa Silaha siku mkisikia kipigo tegemeeni
kuwaambiwa akuna Aliekufa

Sababu IRAN alengi Watu zaid y Kambi za JESH zilipo Silaha aina tofaut!!! Radar tu!!!

lkn mjue kwasasa ISRAEL & MAREKANI Washavurugwa Vibaya na IRAN Baada IRAN juzi kutangaza sasa PROMIS NO3 ipo njiani !!!!

washajua Silaha zao zinaenda Teketezwa na awana uwezo wakuzuiya Shambulizi!!!!! Zinaenda Butuliwa SILAHA zote muimu!!!!

Ndio mana Wanatafuta namna ya kuongea na IRAN pengine wampe Ahadi tamu tamu kupunguziwa vikwazo au kuondolewa kabisa

ili IRAN anyuti kimya kama ayupo Wakianza Unyama wao!!

Na IRAN anajua kwanini anatafutwa kipindi Inchi ndio mana kakataa kabisa Maongezi

IKN IRAN itafanya tukio kubwa huu mwaka kias MAREKANI na ISRAEL Wataogopa na ndio mwisho wa mipango yao kichaaa

PALESTINA itasalimika kwa Uwezo wa Mungu kwakua nguvu za Kitechnology zinamilikiwa na IRAN

milokole mtake msitake lkn huo ndio Ukweli tulionao kwasasa Duniani mkiacha Propaganda zenu,,, Israel ni poyoyo tu IDF na Wajeda wa CONGO awana Tofaut!!!!

Ivi mliwai kujiuliza ingekuwa IDF ndio HAMAS kweli wangesimama ata mwezi mmoja 1 Vitani!!!!

uku awana Msosi awana Hospital awana Maji awana Umeme awana Internet Awawezi kuwasiliana baina yao Awana Ndege za kijesh awana Vifaru awana Air Defences Systems kweli awa WAISRAEL wangepigana vita kishujaa kama HAMAS

acheni porojo porojo kuwasifia Mashoga na Awana Kitu wametuonesha kweli wao WEUPE kutwa kusifiwa kwenye vijiwe vyenu huu ni UNAFIKI WAWAZI na kuwadanganya waumini wenu sasa muwe na aibu nyie watu wazima!!!!!

vip ktk ali kama hii Usijue Mpalestine ni Shujaaa namba 1 Duniani ile mishoga aibebeki waoga wakufa japo wamepewa kila kitu cha kuwasaidia Vitani lkn Wapi!!!!!!!

tumedanganywa sanaaaa kumbe ata Wajeda wa CONGO wakakamavu kuliko waisrael haaaaaa aibu sana!!!! milokole wachungaji povuu Ruksa!!!!
Hata kutofautisha r na l hujui, eti unatoa ushauri!! Dunia ina maajabu sana. Ndiyo madhara ya kuacha elimu dunia na kukimbilia elimu ahera wakati uko duniani. Unawezaje kujadili mambo ya kidunia wakati kichwani huna kitu zaidi ya elimu ahera 😂😂😂
 
Hii itakuwa mpya duniani, Kufuta taifa ambalo Raia wake wapo. Kam mmewashindwa waacheni walivyo. Hawajaomba msaada wowote.

Nawaambia kila siku vita huleta heshima.

Sasa Israel inaanza kukata pumzi, licha ya kuwauwa Hamas wa kutoshga, lakini wanashangaa hawaishi, na Silaha wanazo za kutosha na vita bado wanaitaka.

Wapigane mpaka tone la mwisho, lakini kuwaondoa haitawezekana kabisa.

Karibu FaizaFoxy na FaizaFixy uone Israel na Marekani wamekiri wameshindwa vita rasmi.
Ni maajabu ya dunia haya wenye macho wanayaona mbele yao.Kwa kizungu wanasema ni back fire
Kwa tamko la Trump kwamba alitarajia Misri na Jordan kukubali kwa vile wamepokea misaada mingi kutoka Marekani ni uthibitisho kuwa matarajio yamekwenda kombo.
 
Mzig
Tusisaau Israel inajiandaa kwa Vita mpya na GAZA uku MAREKANI akiizatiti zaid kwa nyenzo ISRAEL !!!!

Upande wa pili IRAN imeanza upya kutaja Promis no3 kuwa aina muda mlefu !!!

Ndio mana mala kadhaa nilikuwa nasema na kuwajuza kuwa Promis no3 ilikuwa inasubilia Mzigo wa Silaha kutoka MAREKANI kwenda ISRAEL ,

Sababu zipo kazaa IRAN alengi makazi ya Watu Wala visivousiana na JESH yeye Yupo Na mikakati ya KIJESH

kwakuwa mizigo imeanza kuwasili uko ISRAEL ya utekelezaji iyo mipango Halamu ya kuwaamisha Wapalestina Ukanda wa GAZA
waenda MISRI!!

na pia Ukingo wa magharibi maeneo ya WEST BANK awa waende Jordan

IRAN kwasasa anayazoom maeneo muimu yote zinako Ifadhiwa Silaha siku mkisikia kipigo tegemeeni
kuwaambiwa akuna Aliekufa

Sababu IRAN alengi Watu zaid y Kambi za JESH zilipo Silaha aina tofaut!!! Radar tu!!!

lkn mjue kwasasa ISRAEL & MAREKANI Washavurugwa Vibaya na IRAN Baada IRAN juzi kutangaza sasa PROMIS NO3 ipo njiani !!!!

washajua Silaha zao zinaenda Teketezwa na awana uwezo wakuzuiya Shambulizi!!!!! Zinaenda Butuliwa SILAHA zote muimu!!!!

Ndio mana Wanatafuta namna ya kuongea na IRAN pengine wampe Ahadi tamu tamu kupunguziwa vikwazo au kuondolewa kabisa

ili IRAN anyuti kimya kama ayupo Wakianza Unyama wao!!

Na IRAN anajua kwanini anatafutwa kipindi Inchi ndio mana kakataa kabisa Maongezi

IKN IRAN itafanya tukio kubwa huu mwaka kias MAREKANI na ISRAEL Wataogopa na ndio mwisho wa mipango yao kichaaa

PALESTINA itasalimika kwa Uwezo wa Mungu kwakua nguvu za Kitechnology zinamilikiwa na IRAN

milokole mtake msitake lkn huo ndio Ukweli tulionao kwasasa Duniani mkiacha Propaganda zenu,,, Israel ni poyoyo tu IDF na Wajeda wa CONGO awana Tofaut!!!!

Ivi mliwai kujiuliza ingekuwa IDF ndio HAMAS kweli wangesimama ata mwezi mmoja 1 Vitani!!!!

uku awana Msosi awana Hospital awana Maji awana Umeme awana Internet Awawezi kuwasiliana baina yao Awana Ndege za kijesh awana Vifaru awana Air Defences Systems kweli awa WAISRAEL wangepigana vita kishujaa kama HAMAS

acheni porojo porojo kuwasifia Mashoga na Awana Kitu wametuonesha kweli wao WEUPE kutwa kusifiwa kwenye vijiwe vyenu huu ni UNAFIKI WAWAZI na kuwadanganya waumini wenu sasa muwe na aibu nyie watu wazima!!!!!

vip ktk ali kama hii Usijue Mpalestine ni Shujaaa namba 1 Duniani ile mishoga aibebeki waoga wakufa japo wamepewa kila kitu cha kuwasaidia Vitani lkn Wapi!!!!!!!

tumedanganywa sanaaaa kumbe ata Wajeda wa CONGO wakakamavu kuliko waisrael haaaaaa aibu sana!!!! milokole wachungaji povuu Ruksa!!!!
Mzigo wa mwanzo ndio ulikuwa mzigo na haukufua dafu.Huu wa pili ni mateke ya kufa ya Israel na Marekani
 
Back
Top Bottom