Netanyau atoka salama chumba cha upasuaji, ni baada ya masaa 2 ya operesheni ya mafanikio hospital ya Hadassah Medical center

Netanyau atoka salama chumba cha upasuaji, ni baada ya masaa 2 ya operesheni ya mafanikio hospital ya Hadassah Medical center

Wadau hamjamboni nyote?

Tumsifu Yesu Kristo
Bwana Yesu asifiwe
Shaloom

Komandoo mwamba kiboko ya magaidi yupo salama kabisa wodini

Operesheni imekwenda vizuri na muda huu amepumzika wodini



Yahwe, Adonai, Yehova asante kumlinda mwamba

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

December 29, 2024
Netanyahu recovering after successful surgery
By AP and ToI Staff
29 Dec 2024, 10:23 pm
10
Prime Minister Benjamin Netanyahu is out of surgery after a successful prostate removal operation, Hadassah Medical Center says.

The Ynet news site reports that the surgery lasted about two hours, as planned. According to Walla, the premier has been moved to the cardiology ward for recovery.

There is no statement from Netanyahu’s office.
Mwamba korodoni zinamuuma, ilikuaje? Jeshi lake halikujua mapema kuzuia hayo maradhi? Kwa kutumia technologies za kisasa?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tumsifu Yesu Kristo
Bwana Yesu asifiwe
Shaloom

Komandoo mwamba kiboko ya magaidi yupo salama kabisa wodini

Operesheni imekwenda vizuri na muda huu amepumzika wodini



Yahwe, Adonai, Yehova asante kumlinda mwamba

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

December 29, 2024
Netanyahu recovering after successful surgery
By AP and ToI Staff
29 Dec 2024, 10:23 pm
10
Prime Minister Benjamin Netanyahu is out of surgery after a successful prostate removal operation, Hadassah Medical Center says.

The Ynet news site reports that the surgery lasted about two hours, as planned. According to Walla, the premier has been moved to the cardiology ward for recovery.

There is no statement from Netanyahu’s office.
Ina maana hana Cancer?
 
Alikuwepo Ariel Sharon alikua katili zaidi ya Netanyahu lkn mnajua alikufaje?

Nenda google ukatizame mwenyewe jinsi alivokua akitoka mafunza kichwani
Team kobazi bana kwa hiyo huko kwenu ukobazini hakuna watu wanao pata stroke au kuingia kwenye kama au kufariki kwa hayo maradhi ?
 
Alikuwepo Ariel Sharon alikua katili zaidi ya Netanyahu lkn mnajua alikufaje?

Nenda google ukatizame mwenyewe jinsi alivokua akitoka mafunza kichwani
Kifo ni kifo tu mkuu nitakavyokufa mimi siyo utavyokufa wewe kila mmoja ana style yake huyo nae ilikuwa style yake wala haihusiani na yeye kuwapeleka mchaka mchaka hamas au hizbula
 
Makafiri wanapenda kujipendekeza kwa Wayahudi lakini wenzao hawana mpango nao hadi huyo Yesu wao wanamwita mwanaharamu.
Sawa lakini Netanyahu amerudi ulingoni kuwaadabisha magaidi ya kidini.
Gaza kipigo kinaendelea bila huruma
 
Alikuwepo Ariel Sharon alikua katili zaidi ya Netanyahu lkn mnajua alikufaje?

Nenda google ukatizame mwenyewe jinsi alivokua akitoka mafunza kichwani
Nani atajivuna kwenye eneo la kifo?

Wewe utakufa, halikadhalika mimi na dunia yooote watu lazima waonje kifo!!

Ila ni nini ulifanya ukiwa hapa Duniani?

Mayahudi menyewe yamepewa hiyo kitu ya kudili na maadui zao wote, na ndiyo maana yakapewa na huo uwezo wa kuyashughurikia hayo magaidi

Magaidi Na yataendelea kuchapwa mpaka mwisho wa nchi hata akifa Netanyahu
 
Kwanini hawajampeleka India kama hawa viongozi wetu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tumsifu Yesu Kristo
Bwana Yesu asifiwe
Shaloom

Komandoo mwamba kiboko ya magaidi yupo salama kabisa wodini

Operesheni imekwenda vizuri na muda huu amepumzika wodini



Yahwe, Adonai, Yehova asante kumlinda mwamba

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

December 29, 2024
Netanyahu recovering after successful surgery
By AP and ToI Staff
29 Dec 2024, 10:23 pm
10
Prime Minister Benjamin Netanyahu is out of surgery after a successful prostate removal operation, Hadassah Medical Center says.

The Ynet news site reports that the surgery lasted about two hours, as planned. According to Walla, the premier has been moved to the cardiology ward for recovery.

There is no statement from Netanyahu’s office.
uliacha kuswali jana? Huyu mwamba hakutakiwa kutoka salama. Ilitakiwa akufie kule kule. Ametubagaza sana huyu yahudi. ITR na Ritz inabidi tutoe tamko. Maana huyu jamaa amekuwa mbabe sana ule ukanda.tulitegemea afe. Ila si mahakama ya Kimataifa inamtafuta? Ilishamhukumu?
 
Alikuwepo Ariel Sharon alikua katili zaidi ya Netanyahu lkn mnajua alikufaje?

Nenda google ukatizame mwenyewe jinsi alivokua akitoka mafunza kichwani
Na Khayatolla Khomein alikufa kabla hata ya Salman Rushdie kufariki. Yaani haya mambo yanachanganya sana....
 
Alikuwepo Ariel Sharon alikua katili zaidi ya Netanyahu lkn mnajua alikufaje?

Nenda google ukatizame mwenyewe jinsi alivokua akitoka mafunza kichwani
Kifo ni kifo kikubwa wakati wako misheni zako ulifanikisha vipi
 
Wenzetu wanatumia hospitali zao kutibiwa lakini ingekuwa wa hapakwetu wangetibiwa marekani au ulaya.
Sasa kama walireta mipasho theatre unafikiri inakuwaje kama sio kutoa connection .........wamechezea elimu ndio matokea hayo .......yaani hapa hata ukiumwa macho kama unapesa katibiwe ulaya .....maana hawakawii kukutia kengeza hivi hivi na ulikuwa na macho mazuri
 
Huna haja ya kushangaa. Hawa ni watumwa wa imani wanaojikomba kwa mabwana zao. Huyo Netanyahu anayemsifia kwa Yesu kristo wala hamtambui zaidi ya kumuona ni mwanaharamu wa kawaida. KKKKKK.
Sio kweli haya ni mambo ya jihadists tu. Israel inaamini katika uhuru wa kuabudu na imo kwenye katiba yao hivyo usitake kutudanganya hapa.

Nchi za kiarabu ndio wajinga wanaotaka kila mtu awe muislam, sasa sijui watu wengine kuwa waislamu kunahusikaje na wao kuingia mbinguni. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom