Netanyau atoka salama chumba cha upasuaji, ni baada ya masaa 2 ya operesheni ya mafanikio hospital ya Hadassah Medical center

Netanyau atoka salama chumba cha upasuaji, ni baada ya masaa 2 ya operesheni ya mafanikio hospital ya Hadassah Medical center

Sharon alitokwa na FUNZA mkuu? How? Kaishi miaka 86 bado huo umri sio haba, kuishi sana duniani bro, tuweni wakweli. Israel wana sheria ya kuto kuua any Myahudi regardless katenda kosa gani, unamkumbuka yule dogo aliyempigaga risasi Izsak Rabin? Yaani alimuua waziri mkuu wa nchi kwa kumpiga risasi, "hakunyongwa". Same as Areil Sharon, huyu alipata stroke, akapoteza fahama and hence akawa hospitalized with ventilator; hawakutakiwa kuzima machine hiyo cause Israeli as I said hawatuhusu Myahudi kufa nje ya natural death.
Sikujua hii kitu. Shukran Mkuu.
 
Sharon alitokwa na FUNZA mkuu? How? Kaishi miaka 86 bado huo umri sio haba, kuishi sana duniani bro, tuweni wakweli. Israel wana sheria ya kuto kuua any Myahudi regardless katenda kosa gani, unamkumbuka yule dogo aliyempigaga risasi Izsak Rabin? Yaani alimuua waziri mkuu wa nchi kwa kumpiga risasi, "hakunyongwa". Same as Areil Sharon, huyu alipata stroke, akapoteza fahama and hence akawa hospitalized with ventilator; hawakutakiwa kuzima machine hiyo cause Israeli as I said hawatuhusu Myahudi kufa nje ya natural death.
Video zipo katizame
 
Huna haja ya kushangaa. Hawa ni watumwa wa imani wanaojikomba kwa mabwana zao. Huyo Netanyahu anayemsifia kwa Yesu kristo wala hamtambui zaidi ya kumuona ni mwanaharamu wa kawaida. KKKKKK.
Hata wewe ni mtumwa unajikomba kwa bwana zako waarabu povu lote linalokutoka ni uthibitisho wa huo utumwa wako
 
Mwacheni apone kufa kitandani kwa GAID kama yeye sio Aki uyo atakufa kwa mkono wa mpalestine DAMU YAKE itililishwe na mpalestine. Atajichanganya tu.
 
Sasa kwa nini wanakutia kidole ili kupima kama haiko huko
Wanaingiza kidole huko ili ku check uvimbe kwenye prostate gland. Hata hivyo hiyo siyo njia pekee ya kupima tezi dume, kuna kipimo cha damu PSA test. Watu wasiogope kupima
 
Back
Top Bottom