Netanyau atoka salama chumba cha upasuaji, ni baada ya masaa 2 ya operesheni ya mafanikio hospital ya Hadassah Medical center

Sikujua hii kitu. Shukran Mkuu.
 
Video zipo katizame
 
Huna haja ya kushangaa. Hawa ni watumwa wa imani wanaojikomba kwa mabwana zao. Huyo Netanyahu anayemsifia kwa Yesu kristo wala hamtambui zaidi ya kumuona ni mwanaharamu wa kawaida. KKKKKK.
Hata wewe ni mtumwa unajikomba kwa bwana zako waarabu povu lote linalokutoka ni uthibitisho wa huo utumwa wako
 
Hata wewe ni mtumwa unajikomba kwa bwana zako waarabu povu lote linalokutoka ni uthibitisho wa huo utumwa wako
Acha upuuzi. Mie sijatetea mwaarabu hata mmoja zaidi ya kuongelea unyama wa huyo nyau wako.
 
Mwacheni apone kufa kitandani kwa GAID kama yeye sio Aki uyo atakufa kwa mkono wa mpalestine DAMU YAKE itililishwe na mpalestine. Atajichanganya tu.
 
Sasa kwa nini wanakutia kidole ili kupima kama haiko huko
Wanaingiza kidole huko ili ku check uvimbe kwenye prostate gland. Hata hivyo hiyo siyo njia pekee ya kupima tezi dume, kuna kipimo cha damu PSA test. Watu wasiogope kupima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…