Taarifa kutoka Netblocks zinasema mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini TanzaniaView attachment 3082838
C waletwe na wimbo wa komba CCM mbelee Kwa mbelee mkuu..waletwe huku sasa si hao member wa huku walisema hawaulewi mtandao wetu jamiiforum.. DJ awalete na comasava...😂
Sana na dogo Sativa naye amecharukaKule kina Tsehai na MMM wanaipiga spana serikali ndani nje.
Huyo ni Jerry Silaa au ni CCM?WAMEZIMA X (TWITTER)‼️
Wanataka kupunguza “kelele” ili watanzania na Dunia nzima wasijue wanateka watu sambaza kila social media platform bango na tutaongeza mengine Cc ephen_
TUMIA VPN URUDI X Twitter
Ccm haoHuyo ni Jerry Silaa au ni CCM?