Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
VPN pia wamepiga TCRA wamepiga biti tusitumie.Tunarudi kulekule 2020 kipindi cha uchaguzi maisha ya VPN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VPN pia wamepiga TCRA wamepiga biti tusitumie.Tunarudi kulekule 2020 kipindi cha uchaguzi maisha ya VPN
Wakati huo huo maafisa wote wa TCRA wameweka VPN. Hii nchi ya kindezi balaa.VPN pia wamepiga TCRA wamepiga biti tusitumie.
Remix au Ojiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waletwe huku sasa si hao member wa huko walisema hawauelewi mtandao wetu jamiiforum.. DJ awalete na comasava...[emoji23]
zipigwe zote kwa pamoja!Remix au Ojiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna hadi mawaziri wanaendelea kutweet kule x,sijui hawako bongo wale 😂Wakati huo huo maafisa wote wa TCRA wameweka VPN. Hii nchi ya kindezi balaa.
Magufuli ndio muasisi wa haya mamboJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Kuna Buyobe, Boniyai na wengineKule kina Tsehai na MMM wanaipiga spana serikali ndani nje.
Ccm hoi, fuzi zote za kijani zimefyatuka ,kila kona giza ,mafundi watarudi 2026CCM Oyeeeee