kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Haitokaa itokee,safi sana, alaf leo hii StarLink ikubaliwe Tz
Wataanzaje kumwambia elon zuia site fln na fln. The only way ni kutomruhusu tu coz wakishamruhusu hawatoweza kumcontrol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitokaa itokee,safi sana, alaf leo hii StarLink ikubaliwe Tz
Kausha mkumbushaji 😂😂Nawakumbusha tu, kama utatumia VPN bila kujisajili TCRA basi utakuwa umefanya kosa kisheria
Lkn hayupo sasa hvMagufuli ndio muasisi wa haya mambo
Na wewe ni mfuasi wa nabii mange mkuu?Siku kadhaa zilizopita, kama wiki moja au nbiki, Mange Kimambi alisema ametoka Twitter imeachiwa, sasa anarudi, tutaona inafungiwa tena.
Mimi hata Mungu simfuati, itakuwa nabii?Na wewe ni mfuasi wa nabii mange mkuu?
Hata huko kwa wakataa mungu kuna manabii wao, darwin,hawking etcMimi hata Mungu simfuati, itakuwa nabii?
Hapana, kukataa Mungu ni kukataa Mungu tu.Hata huko kwa wakataa mungu kuna manabii wao, darwin,hawking etc
Darwin ni abraham wa unyumbulifu/evolution,hawking ni yesu,kumkataa mungu ni belief piaHapana, kukataa Mungu ni kukataa Mungu tu.
Naweza kumkataa Mungu, Darwin na Hawkings.
Usilazimishe.
Mboni Mimi bado naletewa notifications Ila ninachohisi hii mitandao ya Simu inafanyiwa surveillance mamamae sielewi Ila kuna kitu nahisi tena Voda na Halotel naona data za watumiaji zinafuatiliwa kwa ukaribu zaidi Halotel mtandao mpaka unabumabuma Voda Halotel wanazipiga pin baadhi ya Namba zisipokee wala kutuma meseji na mazungumzo yanafuatiliwaYah I think. Sina Twitter ila kuna muda nilibonyeza link ikagoma kufungua. Aikuelewa chochote maana account nishafuta. Kumbe dah!
Ccm mbere kwa mbereCCM Oyeeeee
Hivi unawezaje kuzuia mitandaoni kwa sasa?Hawa watu wanazidi kujiharibia.
Ukisema kumkataa Mungu ni belief ni sawa na kusema kunyoa kipara ni mtindo wa kusuka nywele.Darwin ni abraham wa unyumbulifu/evolution,hawking ni yesu,kumkataa mungu ni belief pia
Yote nikudhibiti upinzani halafu hupita vibarazani ccm inakubalika ila ukubalikaji wao hauonekani kwa vitendo halisi. Ujinga tu walionao viongozi na wafuasi wao.Nawakumbusha tu, kama utatumia VPN bila kujisajili TCRA basi utakuwa umefanya kosa kisheria
Namuwaza malkia nyuki😄