Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

Mama kunyonyesha akiwa amelala kitandani. Mtoto hushindwa ku-control mpangilio wa mwenendo wa maziwa na hatimae kwenda kwenye njia ya hewa.
Nilihisi kitu kama hiki lakini nikawaza kuwa mtoto kama angekuwa amepaliwa angeonyesha dalili za kukooa
kitu ambacho kingewastua wazazi na kuhisi kapaliwa.
 
Mara nyingi nimeshuhudia wagonjwa wakifa kwa sababu ya uzembe wa watoa huduma halafu mwishoni wanaandika death ripoti nzuri tu ya uongo maisha yanasonga.
ni kwel kifo kilifika lkin pale hospital ya magereza aliteseka sana imagine lisaa lizima watu sita wanahangaika kutafta mshipa hawauon wameishia kumnyoa nywele na wakaogopa kumchoma sindano ,oxygen hawana inauma sana
 
Poleni Sana na hasa left eye Polee sana kaka/Dada..

Ili kuweza Kuwa sawa Anatakiwa kuacha Kujilaumu au Kutojivika Lawama kwa kile kitu ambacho hakukijua kabla sio kosa lake..

Unaweza ukawa umeiona Dalili ya Pneumonia lakini ukashindwa kuijua kwa kuwa hukuwa Mtaalamu wa Afya..

Kingine magonjwa yote huweza kuchukua sura mbili za Ugonjwa kuna namaanisha Huweza h
kutokea Ghafla (Suddenly onset) bila kuonyesha dalili Za hatari na huitwa Acute Diseases na pia Kuna magonjwa Huonyesha Dalili nyingi na huanza taratibu Huitwa Chronic Disease

Hata Pneumonia Huweza kuchukua Sura hizo Kwahyo Kuna Pnemonia Ambayo ni suddenly onset "Acute severe Pneumonia" na hii ndo Pneumonia Hatari kuliko zote kwa sababu inatakiwa Kuwahi matibabu kuliko kawaida..

Huenda mwanao alipaliwa Na maziwa Mara kadhaa na kupata Aspirational Pneumonia ambayo ilisababisha Iwe acute onset..

Kuna Research kadhaa zimefanyika Kwa baadhi ya watoto (Infants)Hufariki kwa Sababu ya Milk Aspiration ambayo hupelekea Aspiration Pneumonia na mara nyingi hawa watoto hupata Acute Lung Failure..

Kuna mambo mengi ya Kuelezea Lakini jibu la Moja kwa moja ni kwamba Inawwzekana kabisa kutokea hivyo..

Kama utakuwa una swali unaweza kuuliza
nashkuru kwa maelezo mazur ,sikuio aliamka vizur tu ndipo mamake alimkalisha kumnyomyesha mara ya kwanza akanyonya vizur ,mara ya pili akajitahid kuvuta maziwa akashindwa akayarusha dizain ya kutapika ,toka hapo hal ikachange akawa anapumua kwa shida sana ,na mara chache akawa anatoa milio kama mtu anaguna aah kama kuna kitu kifuan kinambana ,umri wake ni miez 8
 
Poleni Sana na hasa left eye Polee sana kaka/Dada..

Ili kuweza Kuwa sawa Anatakiwa kuacha Kujilaumu au Kutojivika Lawama kwa kile kitu ambacho hakukijua kabla sio kosa lake..

Unaweza ukawa umeiona Dalili ya Pneumonia lakini ukashindwa kuijua kwa kuwa hukuwa Mtaalamu wa Afya..

Kingine magonjwa yote huweza kuchukua sura mbili za Ugonjwa kuna namaanisha Huweza h
kutokea Ghafla (Suddenly onset) bila kuonyesha dalili Za hatari na huitwa Acute Diseases na pia Kuna magonjwa Huonyesha Dalili nyingi na huanza taratibu Huitwa Chronic Disease

Hata Pneumonia Huweza kuchukua Sura hizo Kwahyo Kuna Pnemonia Ambayo ni suddenly onset "Acute severe Pneumonia" na hii ndo Pneumonia Hatari kuliko zote kwa sababu inatakiwa Kuwahi matibabu kuliko kawaida..

Huenda mwanao alipaliwa Na maziwa Mara kadhaa na kupata Aspirational Pneumonia ambayo ilisababisha Iwe acute onset..

Kuna Research kadhaa zimefanyika Kwa baadhi ya watoto (Infants)Hufariki kwa Sababu ya Milk Aspiration ambayo hupelekea Aspiration Pneumonia na mara nyingi hawa watoto hupata Acute Lung Failure..

Kuna mambo mengi ya Kuelezea Lakini jibu la Moja kwa moja ni kwamba Inawwzekana kabisa kutokea hivyo..

Kama utakuwa una swali unaweza kuuliza
kuhus kuona dalil yyte ya pnemonia au kuumwa chochote hapana kwakwel alikuwa normal tu ,zaid vimafua kidg ,ktk uhai wake hakuwah kuumwa hata homa au joto kupanda ht siku moja zaid ya wakat ana miez 5 alikohoa siku mbili na mafua tukampa dawa na akakaa sawa ,ila siku alipozidiwa tupo pale hospital alizidiwa midomo ikawa inacheza ila homa hakuwa nayo kabisa ,nimeuliza sababu doc pugu hawakumfanyia kipimo chochote labda doc alitumia uzoef tu
 
Maelezo mazuri, na ni moja ya kitu cha kwanza kufikirika.

Ingawa umri wa mtoto ni muhimu pia kwenye hili(ni rahisi sana kwa mtoto chini ya mwaka mmoja).

Kuna mambo mengi huchangia pia ya kuongeza:
1: Mama kunyonyesha akiwa amelala kitandani. Mtoto hushindwa ku-control mpangilio wa mwenendo wa maziwa na hatimae kwenda kwenye njia ya hewa.

2: Mama kunyonyesha na kupitiwa na usingizi. Kumwachia ziwa na kumwelemea mtoto na hivyo kushindwa ku-control maziwa pia.

3: Mama kunyonyesha na kumlaza mtoto mara tu baada ya kunyonyesha bila kumbeulisha hewa ndani ya mfumo wa chakula. Mtoto anapocheua maziwa na hewa huenda kwenye njia ya hewa.

4: Mama mwenye maziwa mengi kutokuwa makini ku-control kiasi cha unyonyaji wa mtoto na hatimaye kwenda kwenye njia ya hewa.

Hii hutokana na mfumo wa chakula na hewa kuwa havijawa na uimara wa kutosha kudhibiti kazi yake mahsusi pia mtoto kutokuwa na uwezo mkubwa wa kujitetea kama kujigeuza.
nashkuru kwa maelezo mazur ,alikuwa na miez 8 na hal ilimpata alipokuwa akinyonya ndipo ghafla alipotapika maziwa hal ikachange
 
Aisee ndugu pole sana kwa yaliowasibu najua machungu unayopata ila kama Dr anasema ni severe pneumonia basi ni yale matapishi ndio yanaweza kuwa sababu kuingia kwenye mapafu

Maana unasema alikuwa mzima, pole sana
 
nashkuru kwa maelezo mazur ,alikuwa na miez 8 na hal ilimpata alipokuwa akinyonya ndipo ghafla alipotapika maziwa hal ikachange
Inawezekana wakati anatapika kuna yaliyopoteza uelekeo na kuelekea kwenye njia ya hewa. Kulingana na wingi mchakato wake/irritation ikasababisha mfumo wa hewa kushindwa kufanya kazi vyema na hewa kuendelea kupungua kwenye mfumo wa damu.

Kitu kingine muhimu cha kujifunza pia ni kumuweka mtoto kwenye mkao ambao matapishi yanaweza kutoka vyema kama ubavu ubavu kwa kuminamisha kisogo na si kuzuia yasitoke kwa njia yoyote.
 
Inawezekana wakati anatapika kuna yaliyopoteza uelekeo na kuelekea kwenye njia ya hewa. Kulingana na wingi mchakato wake/irritation ikasababisha mfumo wa hewa kushindwa kufanya kazi vyema na hewa kuendelea kupungua kwenye mfumo wa damu.
nashkuru kwa maelezo
 
kuhus kuona dalil yyte ya pnemonia au kuumwa chochote hapana kwakwel alikuwa normal tu ,zaid vimafua kidg ,ktk uhai wake hakuwah kuumwa hata homa au joto kupanda ht siku moja zaid ya wakat ana miez 5 alikohoa siku mbili na mafua tukampa dawa na akakaa sawa ,ila siku alipozidiwa tupo pale hospital alizidiwa midomo ikawa inacheza ila homa hakuwa nayo kabisa ,nimeuliza sababu doc pugu hawakumfanyia kipimo chochote labda doc alitumia uzoef tu
Pole sana mkuu. Tanzania tatizo letu ni kuwa hatuna utaratibu wa kuchunguza vyanzo vya vifo kitaalam . Hili ni jambo baya sana kwa sababu tunashindwa kujua namna ya kujirekebisha. ''Lumonia'' kama wanavyoita mtaani nayo inaua watoto wengi sana. Kuna kipindi jamaa yangu alikuwa ana mtoto anakohoa kikohozi cha kawaida akaja ndugu yetu ambaye ni daktari akamsikia anakohoa akamuuliza amechukuwa hatua gani. Jamaa akasema ameshamnunua dawa ya kikohozi phamarcy na anampa. Yule daktari akamwambia ni makosa makubwa kucheza na kikohozi kwa mtoto mdogo kwa kufanya matibabu nyumbani. Akamwambie ampeleke hospital haraka sana apate matibabu stahili kwani kikohozi kugeuka ''lumonia'' ni haraka sana.
 
Mwanang wa pekee amefariki masiku machache yaliyopita kwa kinachosadikiwa ni neumonia

Toka azaliwe alikuwa na afya njema ila ghafla alipoamka asubh saa 3 akanyonya vizuri kidogo. Ghafla akabanwa kifua na kutapika maziwa na kubanwa kifua kwa kasi sana.

Tulimpeleka hospital ya magereza ukonga maarufu KM ila saa zima pale walihangaika kutafuta mshipa wamchome ila walishindwa hapo hal ikazid kuwa mbaya zaid ikabid nimkimbize pugu kufika too late anawekewa oxygen anafariki

Nataka kujuwa kwa wataalamu neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla pasina kuwa na dalil zake masiku machache nyuma na kumuua?

Huduma ya kwanza ni ipi? Nimeona inauwa karibia watoto laki 7 kila mwaka dunian. Je, haina chanjo?

Daktari nilipomuuliza nini kimemuua akajibu ni severe neumonia
Pole sana Mungu akutie nguvu. Nmesikitika sana.
 
Mwanang wa pekee amefariki masiku machache yaliyopita kwa kinachosadikiwa ni neumonia

Toka azaliwe alikuwa na afya njema ila ghafla alipoamka asubh saa 3 akanyonya vizuri kidogo. Ghafla akabanwa kifua na kutapika maziwa na kubanwa kifua kwa kasi sana.

Tulimpeleka hospital ya magereza ukonga maarufu KM ila saa zima pale walihangaika kutafuta mshipa wamchome ila walishindwa hapo hal ikazid kuwa mbaya zaid ikabid nimkimbize pugu kufika too late anawekewa oxygen anafariki

Nataka kujuwa kwa wataalamu neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla pasina kuwa na dalil zake masiku machache nyuma na kumuua?

Huduma ya kwanza ni ipi? Nimeona inauwa karibia watoto laki 7 kila mwaka dunian. Je, haina chanjo?

Daktari nilipomuuliza nini kimemuua akajibu ni severe neumonia
Pole sana Mungu akutie nguvu. Nmesikitika sana.
 
ni kwel kifo kilifika lkin pale hospital ya magereza aliteseka sana imagine lisaa lizima watu sita wanahangaika kutafta mshipa hawauon wameishia kumnyoa nywele na wakaogopa kumchoma sindano ,oxygen hawana inauma sana
pole sana
 
nashkuru kwa maelezo mazur ,sikuio aliamka vizur tu ndipo mamake alimkalisha kumnyomyesha mara ya kwanza akanyonya vizur ,mara ya pili akajitahid kuvuta maziwa akashindwa akayarusha dizain ya kutapika ,toka hapo hal ikachange akawa anapumua kwa shida sana ,na mara chache akawa anatoa milio kama mtu anaguna aah kama kuna kitu kifuan kinambana ,umri wake ni miez 8
Aliaspirate..
So alipata Aspiration Pneumonia..
Pole sana Mkuu Hiyo Ni Aspiration Pneumo..
 
Sababu ya haraka mtoto alipokuwa ananyonya maziwa yalienda njia ya hewa ,kitaalaumu inaitwa aspiration
Pneumonia.Kwa kawaida unaweza msaidia mgonjwa kama huyo kwa kuanza kuhakikisha njia ya hewa haina kizuizi(airway patency) kwa kuweka mpira kupitoa mdomo kwenye kwenye Koo la hewa trachea(Endotracheal tube intubation) na kusafisha (trachea wash out) kwa kuondoa vile vilivyoungia katika njia ya hewa na kupewa tiba ya hewa ya oxygen .Baada ya hapo unaweza endeleza matibabu mengine kama dawa nk
 
Back
Top Bottom