Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

Sababu ya haraka ya mtoto kilichomkuta yawezekana kiasi fulani Cha maziwa yaliingia katika njia ya hewa kitaalamu huitwa aspiration pneumonia .Na hatumae kupelekea kifo kutokana na ukosefu wa hewa ya oxyengene kwenye damu(hypoxemia) na kwenye chembe hai za mwili(hypoxia).Mara nyingi Moja wapo ya sababu ya ghafla ya moyo kusimama(immediately cause of cardiac arrest) ni pamoja na hypoxia ,na baadae kifo kama hatua za kurudisha moyo uendelee kufanya kazi zitchelewa (cardiopulmonary rescutation-cpr).Njia pekee ya mgonjwa kama huyo kabla ya mtibabu ya dawa unaweza hakikisha njia ya hewa inauwezo wa kupitisha hewa (is airway patent) ,hivyo kwa hospitarini unaweza mwekea mpira kupitia mdomo Hadi kwenda kwenye Koo la hewa (trachea) kitaalamu huitwa Endotracheal intubation ,hii itasaidia kusafisha njia ya hewa yaani trachea washout Kwa kuondoa kiasi cha maziwa na kama vyakula vingine kam uji kwenye njia ya hewa .Kwa kufanya hivo utahakikisha njia ya hewa Iko sawa .mna kuendelea kumpa hewa ya oxygen kupitia endotracheal tube.
 
Sababu ya haraka ya mtoto kilichomkuta yawezekana kiasi fulani Cha maziwa yaliingia katika njia ya hewa kitaalamu huitwa aspiration pneumonia .Na hatumae kupelekea kifo kutokana na ukosefu wa hewa ya oxyengene kwenye damu(hypoxemia) na kwenye chembe hai za mwili(hypoxia).Mara nyingi Moja wapo ya sababu ya ghafla ya moyo kusimama(immediately cause of cardiac arrest) ni pamoja na hypoxia ,na baadae kifo kama hatua za kurudisha moyo uendelee kufanya kazi zitchelewa (cardiopulmonary rescutation-cpr).Njia pekee ya mgonjwa kama huyo kabla ya mtibabu ya dawa unaweza hakikisha njia ya hewa inauwezo wa kupitisha hewa (is airway patent) ,hivyo kwa hospitarini unaweza mwekea mpira kupitia mdomo Hadi kwenda kwenye Koo la hewa (trachea) kitaalamu huitwa Endotracheal intubation ,hii itasaidia kusafisha njia ya hewa yaani trachea washout Kwa kuondoa kiasi cha maziwa na kama vyakula vingine kam uji kwenye njia ya hewa .Kwa kufanya hivo utahakikisha njia ya hewa Iko sawa .mna kuendelea kumpa hewa ya oxygen kupitia endotracheal tube.
nashkuru sana kwa elimu hii mkuu ,atlist nimepata dondoo za kilichomuua mwanangu ,je homa ya mapafu kwa watoto waliochini ya miaka 5 haina chanjo
 
Chanjo zipo za pneumonia Kama vile pneumocacal conjugate vaccine (PCV) ,lakini Sasa changamoto visabishi vya pneumonia ni vingi kama ni sababu ni bakteria kama pneumocci atabenefi ,suala linakuja kama hio aspiration pneumonia utatoa chanjo?
 
Mkuu pole sana! Kwa kweli inaumiza
Mungu akupe ujasiri wa kulipokea na kulikubali.
 
Ni kweli nimempoteza mtoto wa rafiki yangu kwa pneumonia hospitali ya Benjamin mkapa kama 3 weeks ago. Madaktari walihangaika sana lakini masikini yule malaika alikuwa tayari ameitwa na Mwenyezi Mungu. Alikuwa amewekewa oxygen pia
 
nashkuru kwa maelezo mazur ,alikuwa na miez 8 na hal ilimpata alipokuwa akinyonya ndipo ghafla alipotapika maziwa hal ikachange

Pole sana,Mungu awe mfariji wenu katika kipindi hiki.

Kwa maelezo haya inawezekana alipata aspiration pneumonia(ni hali inayotokea pale chakula ama kinywaji kinapoingia kwenye mfumo wa hewa).
Mara nyingi husababisha sudden death.

Pole sana mkuu
 
Nilihisi kitu kama hiki lakini nikawaza kuwa mtoto kama angekuwa amepaliwa angeonyesha dalili za kukooa
kitu ambacho kingewastua wazazi na kuhisi kapaliwa.
maelezo haya hapa chini 👇👇 yanadhihirisha aliaspirate..

Ukiaspirate maana Yake imevuka Stage ya Kutoa Chakula,Maziwa au chochote kwa njia ya Kikohozi na kikohozi kama Reflex haiwezi tena kuondoa Foregns Bodies na ndo maana Mapafu yanaathirika Haraka sana na Aspiration Pneumonia kuliko Pneuminia Yoyote..

nashkuru kwa maelezo mazur ,sikuio aliamka vizur tu ndipo mamake alimkalisha kumnyomyesha mara ya kwanza akanyonya vizur ,mara ya pili akajitahid kuvuta maziwa akashindwa akayarusha dizain ya kutapika ,toka hapo hal ikachange akawa anapumua kwa shida sana ,na mara chache akawa anatoa milio kama mtu anaguna aah kama kuna kitu kifuan kinambana ,umri wake ni miez 8
 
Daaah pole sana kiongozi. Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu
 
Kuna uwezekano mkubwa pia alipaliwa maziwa(aspiration),wakati mwingine mama azingatie maelekezo jinsi ya kunyonyesha.
 
Nikipata muda nitaweka bandiko jinsi gani mama anatakiwa kumnyonyesha mtoto .
 
Back
Top Bottom