Never Say Never

Tate mdodo ikatokea tumetekwa mimi si ningegeuka mboga ya masela sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia tambara bovu hili bora ulishuka!!! Hata iz IT bado sio safe!!! Usafiri salama ni public transport. Uko kwenye swala la pipa tupo pamoja, huwa najiuliza likitokea la kutokea familia yangu ndo haitazika hata kiganja changu
 
Hawezi kuniacha tukivamiwa bwana. Ni mjeda ila vitu ambavyo anajua hawezi kunisaidia kwa ukaribu huwa ananiambia bora niviepuke

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio mwoga basi atakuwa anawivu wakutosha,aliangalia ratio ya boi to gelo ndani ya hilo lori akaona ratio sio rafiki kwa mustakabali wake,mana ni 3:1,sasa akapiga mahesabu huyo abiria wakiume kama ni mtu wa kujiongeza itakuwa hatari kwa penzi lake,ndo maana akawa anakutisha ili ushuke.ingekuwa ni mimi huyo abiria mwenzio tungeshuka wote aisee


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndo pananivuruga. Mwanangu atashindwa hata kutembelea kaburi langu.
Dunia tambara bovu hili bora ulishuka!!! Hata iz IT bado sio safe!!! Usafiri salama ni public transport. Uko kwenye swala la pipa tupo pamoja, huwa najiuliza likitokea la kutokea familia yangu ndo haitazika hata kiganja changu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli uoga na wivu kwa pamoja vilimshika mzee baba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia duara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikujuze jambo dogo tu dada. Kwa ardhin, hakuna usafiri salama na wa kuaminika kama wa Malori.
 
Nikujuze jambo dogo tu dada. Kwa ardhin, hakuna usafiri salama na wa kuaminika kama wa Malori.

hasahasa kama brake zake ziko vizuri. Kwa upande wangu usafiri salama ni boat tu (hapa ni zile za muundo wa catamaran). Usafiri mwingine wowote roho inakua mkononi muda wote wa safari.

 
Ukimya umenicost rafiki
Boat ikiharibika tutaelea tu juu ya maji, au tutapoteza uelekeo lakini sio kupinduka au kupata ajali ikapelekea mlipuko.
Unaona sasa matatizo yako ya kusafiri kimyakimya, ningekuelekeza ukapokelewa nyumbani ukapumzika kesho yake ukaondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudadadeki kumbe unaogopa ndege? Ungekua mwanajeshi siku ubahatike kupanda ndege ya Bangaladesh ungezima kweli... Maana yale spana mkononi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…