Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Wewe naniii hawa viumbe mbona tulisha sema hawaeleweki ukioa bikira atatamani ajue za nje zikoje.
So tafuta pesa akikupendeza oa kula mbususu akileta uhuni fukuza lea watoto basi hakuna muda wa kujishauri shauri
Since upo duniani lolote linaweza tokea. Kaa tayari
So tafuta pesa akikupendeza oa kula mbususu akileta uhuni fukuza lea watoto basi hakuna muda wa kujishauri shauri
Since upo duniani lolote linaweza tokea. Kaa tayari