Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ekari 12,700 sidhani.
Inawezekana alikuwa na eneo kubwa lakini ekari 12,700 ni pakubwa sanaaa...hata ekari 120 tu unaweza kuimagine ina ukubwa gani?
Michael Jordan ana eneo la Ekari 5 na alikuwa akisifiwa kuwa mtu mweusi mwenye eneo kubwa sana, wao na Mike Tyson.
Inawezekana alikuwa na eneo kubwa lakini ekari 12,700 ni pakubwa sanaaa...hata ekari 120 tu unaweza kuimagine ina ukubwa gani?
Michael Jordan ana eneo la Ekari 5 na alikuwa akisifiwa kuwa mtu mweusi mwenye eneo kubwa sana, wao na Mike Tyson.