Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications

Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
MEENA AFUTIWA MKABATA MCL KWA MADAI YA KUHATARISHA SERA YA UHARIRI.  Kampuni ya  ( 335 X 640 ).jpg


Taarifa ya Mwananchi inadai kwamba mwenendo wa Meena kwenye mitandao ya kijamii unapingana na sera za kampuni hiyo (haikufafanua mwenendo huo ni upi)

Meena alikuwa ni miongoni mwa wahariri waandamizi wa kampuni hiyo na mkataba wake umevunjwa tarehe 23/3/2020.

Haikujulikana kama atalipwa chochote au la.
 
Kamanda Tundu Antipas Lissu alituasa waTanzania tusidhani wanayofanyiwa wapinzani hayatawafika wengine.

Sasa tunaona waandishi wa habari ni zamu yao na wakimaliza kada zote kundi la mwisho itafuata purge/ safisha safisha ndani ya CCM.

Mapambano ya uhuru wa mtu kuwa mtu-huru hayana chama au itikadi, tuungane na CHADEMA kudai demokrasia na maendeleo.
 
Erythrocyte,
watanzania tunazidi kuwa kama yatima kuelekea uchaguzi mkuu wandishi wote wanao juwa kazi yao vizuri watanza kuhujumiwa mpaka tubaki na wandishi kama tbc na uhuru.

maana hamna namna Magufuli na serikali yake miaka mitano imeshia kupambana na wapizani huku akisahau ahadi alizo toa kwenye campaign.

sasa anahaha hana cha kuwaeleza watanzania zaidi kutegemea propaganda zitakazo andikwa na wandishi wa kuendeshwa kama propaganda machine.
 
Oktoba 13, 2019

KANALI MSTAAFU LUBINGA: WAKO WALIOTAKA HATA NYERERE ASING'ATUKE
Katibu wa Siasa na Uhusiano kimataifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kanali mstaafu Ngemela Lubinga akifanyiwa mahojiano na Khalifa Said kuhusu masuala mbalimbali ya kimataifa na masuala mtambuka ya siasa za ndani ya Tanzania



Kumekuwa na maoni kwamba hoja na ushawishi unaofanywa na baadhi ya wananchi kutaka ukomo wa uraisi uondolewe katika Katiba, unaweza kumfanya Raisi John Magufuli ashawishike na hivyo kuchukua hatua za kubaki madarakani wakati muda wake utakapoisha.

Katika sehemu hii ya MCL Talk, mwandishi Khalifa Said anafanya mahojiano na Kanali Ngemela Lubinga, anayehusika na siasa na uhusiano wa mambo ya nje ya Chama cha Maapinduzi (CCM) akitaka kufahamu kwamba katika muktadha kama huo, wao kama chama wana uhakika gani kwamba mwenyekiti wao ataheshimu Katiba na kuondoka madarakani muda wake utakapoisha?
Source : Mwananchi digital
 
February 6, 2020

Huyu mwandishi Khalifa Said ni katika wale wachache waliokuwa wanahoji maswali mazuri sana.

Nadhani weledi wake wa kufanya kazi ya uandishi ndiyo umesababisha aonekane 'mpinzani'.

Mfano mmoja kati ya kazi nzuri nyingi za mwandishi huyu ni mahojiano haya February 6, 2020 kuelekea Siku ya Sheria mada Sheria na Uwekezaji



Source : Mcl digital
 
Kamanda Tundu Antipas Lissu alituasa waTanzania tusidhani wanayofanyiwa wapinzani hayatawafika wengine.

Sasa tunaona waandishi wa habari ni zamu yao na wakimaliza kada zote kundi la mwisho itafuata purge/ safisha safisha ndani ya CCM.

Mapambano ya uhuru wa mtu kuwa mtu-huru hayana chama au itikadi, tuungane na CHADEMA kudai demokrasia na maendeleo.
Chadema tena! Hicho chama saivi nichama cha nyumbani!
Nimeshangaa kuona list la walioandamana asilimia 98 nikutoka kwa mzee mbowe!

Ha ha ha , Kifupi nikwamba tunahitaji chama bora tanzania cha siasa! Saivi hatuna chana cha upinzani!
 
Chadema tena! Hicho chama saivi nichama cha nyumbani!
Nimeshangaa kuona list la walioandamana asilimia 98 nikutoka kwa mzee mbowe!

Ha ha ha , Kifupi nikwamba tunahitaji chama bora tanzania cha siasa! Saivi hatuna chana cha upinzani!

Masanjaone,
Usione ni jambo la masihara, taratibu kada zote bila kujali chama zinajongewa na jinamizi la kunyakua watu-huru kifikra bila kuangalia mtu-huru kifikra amevaa kijani au gwanda la kikamanda.

October 24, 2019
Mzee Philip Mangula mwezi Oktoba mwaka jana akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu ukoloni mpya baada ya ukoloni mkongwe, tupige kelele kwa huu mguu unaotukanyaga ....

 
watanzania tunazidi kuwa kama yatima kuelekea uchaguzi mkuu wandishi wote wanao juwa kazi yao vizuri watanza kuhujumiwa mpaka tubaki na wandishi kama tbc na uhuru. maana hamna namna Magufuli na serikali yake miaka mitano imeshia kupambana na wapizani huku akisahau ahadi alizo toa kwenye campaign. sasa anahaha hana cha kuwaeleza watanzania zaidi kutegemea propaganda zitakazo andikwa na wandishi wa kuendeshwa kama propaganda machine.
Hivi kumbe mwananchi communication inamilikiwa na serikali!!?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom