Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
bagamoyo, Hivi yule mwandishi alimuulizaga polepole swali katika mkutano mmoja hivi mpk akamaind sio huyo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utavuna matunda ya comments zako ili ujifunze kuheshimu taasisi ya urais.Mkapa ndio wa kulaumiwa kwa kulazimisha kutuletea huyu mkimbizi ni mara mia angepita Fisadi Lowasa.
Mkuu naanza kuiheshimu sasa.Nimejifunza. comment yangu nimeifuta lazima tukubaliane kuheshimu mamlakaUtavuna matunda ya comments zako ili ujifunze kuheshimu taasisi ya urais.
watanzania tunazidi kuwa kama yatima kuelekea uchaguzi mkuu wandishi wote wanao juwa kazi yao vizuri watanza kuhujumiwa mpaka tubaki na wandishi kama tbc na uhuru. maana hamna namna Magufuli na serikali yake miaka mitano imeshia kupambana na wapizani huku akisahau ahadi alizo toa kwenye campaign. sasa anahaha hana cha kuwaeleza watanzania zaidi kutegemea propaganda zitakazo andikwa na wandishi wa kuendeshwa kama propaganda machine.
Aisee! Una maana gazeti la mwananchi ni mali ya Rostam?Rostam hawezi kukosa laki mbili ya mafao yake
Atarudi kwenye gazeti la awali Tanzania Daima,kule ndio kunamfaa
Chama ni watu, si viongozi wala si jina la chama. Kama watu watakaounda hicho unachoita chama bora ni wale wale waliokuwa CHADEMA, NCCR, ACT na CUF, basi hapo labda unabadili jina tuHa ha ha , Kifupi nikwamba tunahitaji chama bora tanzania cha siasa! Saivi hatuna chana cha upinzani!
Acha mikwara mbuziUtavuna matunda ya comments zako ili ujifunze kuheshimu taasisi ya urais.
Oktoba 13, 2019
KANALI MSTAAFU LUBINGA: WAKO WALIOTAKA HATA NYERERE ASING'ATUKE
Katibu wa Siasa na Uhusiano kimataifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kanali mstaafu Ngemela Lubinga akifanyiwa mahojiano na Khalifa Said kuhusu masuala mbalimbali ya kimataifa na masuala mtambuka ya siasa za ndani ya Tanzania
Eleza kwanini CCM na Polisi wanakosa usingizi na huweweseka muda wote. Iweje aliyeko nyumbani awakoseshe raha mlioko barabarani!Chadema tena! Hicho chama saivi nichama cha nyumbani!
Nimeshangaa kuona list la walioandamana asilimia 98 nikutoka kwa mzee mbowe!
Ha ha ha , Kifupi nikwamba tunahitaji chama bora tanzania cha siasa! Saivi hatuna chana cha upinzani!
Huyu alikuwa mhariri wa gazeti la Chadema....... Tanzania DaimaView attachment 1397492
Taarifa ya Mwananchi inadai kwamba mwenendo wa Meena kwenye mitandao ya kijamii unapingana na sera za kampuni hiyo (haikufafanua mwenendo huo ni upi)
Meena alikuwa ni miongoni mwa wahariri waandamizi wa kampuni hiyo na mkataba wake umevunjwa tarehe 23/3/2020.
Haikujulikana kama atalipwa chochote au la.
So what ?Huyu alikuwa mhariri wa gazeti la Chadema....... Tanzania Daima
Mwananchi kwa sasa hawataki vibaraka!So what ?
JajiimentooooKamanda Tundu Antipas Lissu alituasa waTanzania tusidhani wanayofanyiwa wapinzani hayatawafika wengine.
Sasa tunaona waandishi wa habari ni zamu yao na wakimaliza kada zote kundi la mwisho itafuata purge/ safisha safisha ndani ya CCM.
Mapambano ya uhuru wa mtu kuwa mtu-huru hayana chama au itikadi, tuungane na CHADEMA kudai demokrasia na maendeleo.
bali vibaraka wa ccm ndio wanaotakiwaMwananchi kwa sasa hawataki vibaraka!
Mtafutieni kibarua hapo Ufipa!bali vibaraka wa ccm ndio wanaotakiwa
kwani Mwananchi ni ya ccm ? mna mambo ya kishamba sana !Mtafutieni kibarua hapo Ufipa!