johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata Chadema ni CCM B......muulize Jesca atakuambia!kwani Mwananchi ni ya ccm ? mna mambo ya kishamba sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Chadema ni CCM B......muulize Jesca atakuambia!kwani Mwananchi ni ya ccm ? mna mambo ya kishamba sana !
Acha kuogopesha RAIAUtavuna matunda ya comments zako ili ujifunze kuheshimu taasisi ya urais.
Ionekane Kama imekaa kisiasa na ndio lengo lakeMwananchi nao wamedai haijulikani kama atalipwa chochote? Na mkataba wake na yeye wameeleza unasemaje kuhusu mafao baada ya kuvunja mkataba? Au umeika ilete taswira flan!
daaaah, huu ni mchango wa kipuuzi niliousoma leoMwananchi kwa sasa hawataki vibaraka!
Kina jifia zakeChadema tena! Hicho chama saivi nichama cha nyumbani!
Nimeshangaa kuona list la walioandamana asilimia 98 nikutoka kwa mzee mbowe!
Ha ha ha , Kifupi nikwamba tunahitaji chama bora tanzania cha siasa! Saivi hatuna chana cha upinzani!
Meena ni mwiba wa serikali kule tweeterHatuwezi kuwa na nchi yenye uhuru wa habari, kama magazeti yenyewe ndiyo yanaongoza kwa self censorship.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Misukule ya ufipa mungu awaongoe yaani bila kufikiri Wala kuwaza wanakurupuka kuleta siasaMwananchi Communications ni private entity,sio ya Serikali wala CCM.Sasa Mhe Magufuli anaingiaje hapo?Je,kama kampuni inabana matumizi na kuamua kusitisha mkataba?Je,kama wamekiuka maadili ya kampuni yao? Uongozi uwaangalie tu bila hatua kuogopa uzushi?Mengine ni siri ya ndani,sio lazima public iambiwe, ndio maana tunazusha yasiyozushika!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikua huna habari?Aisee! Una maana gazeti la mwananchi ni mali ya Rostam?
Vipi, unamdai Meena?Mwananchi nao wamedai haijulikani kama atalipwa chochote? Na mkataba wake na yeye wameeleza unasemaje kuhusu mafao baada ya kuvunja mkataba? Au umeiweka ilete taswira flan!