Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkuu nimenukuu taarifa ya Mwananchi ambayo nayo haina minofuOngezea nyama habari haijakamilika
Mwananchi nao wamedai haijulikani kama atalipwa chochote? Na mkataba wake na yeye wameeleza unasemaje kuhusu mafao baada ya kuvunja mkataba? Au umeiweka ilete taswira flan!Mkuu nimenukuu taarifa ya Mwananchi ambayo nayo haina minofu
Chadema tena! Hicho chama saivi nichama cha nyumbani!Kamanda Tundu Antipas Lissu alituasa waTanzania tusidhani wanayofanyiwa wapinzani hayatawafika wengine.
Sasa tunaona waandishi wa habari ni zamu yao na wakimaliza kada zote kundi la mwisho itafuata purge/ safisha safisha ndani ya CCM.
Mapambano ya uhuru wa mtu kuwa mtu-huru hayana chama au itikadi, tuungane na CHADEMA kudai demokrasia na maendeleo.
Chadema tena! Hicho chama saivi nichama cha nyumbani!
Nimeshangaa kuona list la walioandamana asilimia 98 nikutoka kwa mzee mbowe!
Ha ha ha , Kifupi nikwamba tunahitaji chama bora tanzania cha siasa! Saivi hatuna chana cha upinzani!
Hivi kumbe mwananchi communication inamilikiwa na serikali!!?.watanzania tunazidi kuwa kama yatima kuelekea uchaguzi mkuu wandishi wote wanao juwa kazi yao vizuri watanza kuhujumiwa mpaka tubaki na wandishi kama tbc na uhuru. maana hamna namna Magufuli na serikali yake miaka mitano imeshia kupambana na wapizani huku akisahau ahadi alizo toa kwenye campaign. sasa anahaha hana cha kuwaeleza watanzania zaidi kutegemea propaganda zitakazo andikwa na wandishi wa kuendeshwa kama propaganda machine.
Makongoro alikua "mgonjwa" siku nyingi sana. I believe he died a natural death, unless there is evidence to prove otherwiseHivi kifo Cha makongoro mahanga kimetokanananini? Vunjavunja bfoo 2020
Rostam hawezi kukosa laki mbili ya mafao yakeHaikujulikana kama atalipwa chochote au la
We jamaa si juzi tu hapa ulikua mnazi nguli wa mboga mboga umekumbwa na nini? Au ndo akili yako imestuka kwamba tunakoelekea sipo