Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #9,501
I agree, its too early to draw conclusionNobody knows for sure what happened to the founder of WAGNER.
Everything else is speculation and conspiracy theories.
Ukitaka kwenda mbali nenda na wengi walakini ukitaka mwendo wa kasi basi nenda peke yako
Aidha, kinyume na sheria za mikataba ya kimataifa, Mahakama Kuu Mbeya iliwahalalisha Dubai kuwa wana sifa ya kuingia mikataba ya kimataifa kwa kutumia katiba ya Falme za Kiarabu ambayo haihusiki. Walipaswa kujiongoza vizuri kwa kutumia orodha ya wanachama wa makubaliano ya Kimataifa ya Lome na Geneva.
Hawakufanya hivyo siyo kwamba hawajui bali kwa makusudio mazima ya kuhalalisha maliasili za nchi ziporwe na watawala wetu kwa mgongo wa mwekezaji.