La pili, na ambalo ni kubwa zaidi ni dhana potofu Mtera ndiyo tunaitegemea kwa kuzalisha umeme na ukikosekana nchi iko gizani. Dhana hii haijapata darasa la kutosha.
Bila hata ya kuweka takwimu mabwawa yote mchango wao wa uzalishaji umeme ni mdogo mno na sababu zipo kibao.
Hata Mtera ikizimwa leo ni mgao utaongezeka lakini nchi haitakuwa gizani sasa kwanini wanaikuza Mtera kama ndiyo kila kitu kama siyo kutujuza wao ni hamnazo?