Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #9,721
Tatizo wa kuwaandaa wapigakura wamejikita kupigania matumbo yao na hawatafanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi Mhe.Rais alimteua Prof.Kennedy Gaston kuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje (anayeshughulikia ushirikiano wa Afrika Mashariki).
Ijumaa tar.1 akaapishwa huko Zanzibar. Jumamosi akarudi nyumbani Dsm.
Jana jumapili akaenda kanisani kutoa shukrani kwa kuteuliwa.
Lakini jana usiku akafurushwa na kupelekwa ofisi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali.
Yaani ameondolewa kwenye nafasi akiwa bado hata hajaingia ofisi aliyoteuliwa.
Kwahiyo Prof.Kennedy ndiye Katibu Mkuu ambaye amedumu kwa kipindi kifupi sana maana ametenguliwa kabla hata hajaingia ofisini.
Wizara ya mambo ya nje inaingia kwenye historia ya kuwa na Katibu Mkuu ambaye haijui ofisi.
Kwa kuwa tayari alishaapa, jina lake litakuwepo kwenye orodha ya Makatibu wakuu wa wizara. Lakini "tenure" yake itakua siku moja, maana aliapishwa September 1 na kuondolewa September 3 bila kuingia ofisini.
Anyway, nadhani timu ya Rais inayoshughulika na "vetting" za viongozi haifanyi kazi yake ipasavyo. Huwezi kumteua Katibu Mkuu wa wizara nyeti kama ya Foreign kwa kubahatisha. Kama walikua hawana uhakika nae wasingemteua. Bora nafasi ingebaki "vacant" kuliko kumteua mtu leo na kumuondoa kesho.
Inaonekana hakuna umakini kwenye teuzi. Maafisa wanaomsaidia mama wanapiga ramli.
Na hii si mara ya kwanza. Kuna jamaa mmoja aliwahi kuteuliwa DED na DAS kwa wakati mmoja. Ikaleta gumzo hadi yakafanyika mabadiliko.
Mwingine aliteuliwa Ukurugenzi Mkuu na kutenguliwa usiku kabla hajaapishwa.
Miezi michache iliyopita aliteuliwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama kuwa Katibu Ikulu na baada ya siku moja au mbili akatolewa.
Timu ya "vetting" imsaidie Rais vizuri.
Iache kufanya betting.
Taarifa ya Ikulu haipaswi kuwa ya kubahatisha, inapaswa iwe firm and legitimate.
Isiwe kama taarifa ya vicoba vya Mburahati. Fanyeni vetting sio betting.!
TZ sio ile tuliyozoea,umakini umedrop sana.
CCM hutamba wao ni familia ya V8 lakini hawatuambii nani kawawezesha.
Wawekezaji feki hawana mchango kwenye pato la taifa ila kuwarubuni CCM kwa peremende kama kuwanunulia V8s.
Kama wanabisha waje wajibu khoja.
1) Ruzuku kwa mwaka ni ngapi?
2) Matumizi kwa mwaka ni ngapi?
3) Michango ya wanachama kwa mwaka ni ngapi?
4) V8s ziligharimu ngapi?
Kwa mahesabu yetu V8s hazitokani na mapato ya CCM bali hongo za wawekezaji ambazo ni kichocheo cha kutolipa kodi ipasavyo.
Kama mnabisha tupeni takwimu za mchango wa wawekezaji kwenye bajeti ya kila mwaka ya serikali kuanzia 1995.
Sheria za kodi mbona zinabana raia na kuwapa ahueni wawekezaji feki ambao ni waporaji wa pato la taifa?
View: https://youtu.be/xF18HG1yEt0?si=ZK4-jgPtOD__WliS
Mbona masikini wanalipa kodi na matajiri hawalipi?
Hata maandiko mnayakana yanayosema mzawa hapaswi kulipa kodi bali wakuja ndiye anayepaswa kulipa lakini analindwa kwa manufaa ya nani? (Jisomee Matayo 17:24 - 27.
Tanzanian officials seemed to back down this week for the first time in the face of persistent resistance to the country's port management contract with an Emirati corporation.
In addition, the Tanzanian government has abandoned a study of rules that would have benefited the contentious deal with DP World. On Tuesday, Attorney General Eliezer Feleshi said that the government has withdrawn proposed modifications to two laws controlling Tanzania's natural resources that were up for debate in the National Assembly.
Mr Feleshi stated at a parliamentary sitting in Dodoma that the government had accepted 'advice' from a House committee to delete the two parts of the Bill containing the proposed revisions. “Following our meeting with the Parliamentary Governance, Constitutional and Legal Affairs Committee, both sections have been scrapped and the Bill amended accordingly," he disclosed.
Parts 4 and 5 of the Bill proposed amendments to the Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act and the Natural Wealth Resources (Review and Re-negotiation of Unconscionable Terms) Act, both of 2017, to ensure that neither act could be used to "prejudice the performance of sea, dry, and lake ports in Tanzania."
Facing mounting resistance, Tanzanian officials backtrack on the controversial port management contract with DP World.
Tanzania withdraws proposed amendments to two key laws related to natural resources, signaling a reevaluation of the DP World deal's terms.
Public condemnation, legal challenges, and parliamentary scrutiny continue to cast doubt on the port management agreement's viability.
Tanzanian officials seemed to back down this week for the first time in the face of persistent resistance to the country's port management contract with an Emirati corporation.
In addition, the Tanzanian government has abandoned a study of rules that would have benefited the contentious deal with DP World. On Tuesday, Attorney General Eliezer Feleshi said that the government has withdrawn proposed modifications to two laws controlling Tanzania's natural resources that were up for debate in the National Assembly.
Mr Feleshi stated at a parliamentary sitting in Dodoma that the government had accepted 'advice' from a House committee to delete the two parts of the Bill containing the proposed revisions. “Following our meeting with the Parliamentary Governance, Constitutional and Legal Affairs Committee, both sections have been scrapped and the Bill amended accordingly," he disclosed.
Parts 4 and 5 of the Bill proposed amendments to the Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act and the Natural Wealth Resources (Review and Re-negotiation of Unconscionable Terms) Act, both of 2017, to ensure that neither act could be used to "prejudice the performance of sea, dry, and lake ports in Tanzania."
According to the plan, the changes will "enable Tanzania's ports to operate at international standards level and attract more countries, more ships, and larger cargoes."
The Inter-Governmental Agreement (IGA) inked last year between Tanzania and Dubai (UAE) required both parties to guarantee that their legislation allowed the seamless execution of the IGA and future host government agreement (HGA).
The IGA was intended to allow the Dubai-based global logistics giant DP World to take over operations at the port of Dar es Salaam first, and maybe other sea and lake ports in Tanzania in the future.
Since it was authorized by parliament on June 10 of this year, the contract has received heavy public condemnation from a variety of players, including opposition politicians, legal experts, and religious clergy who feel that, as written, it would benefit the Dubai corporation more than Tanzania.
The two statutes at issue were notably highlighted in a recent High Court case in which four private people petitioned for the agreement to be invalidated on the grounds that it violated Tanzania's constitution and threatened the country's sovereignty and security. The petition was denied by the High Court on August 10.
The Governance, Constitutional, and Legal Affairs Committee halted its own preliminary consideration of the proposed modifications last week, saying it needed further "clarification" from the administration on the "contents" of the plan.
Following AG Feleshi's intervention on Tuesday, National Assembly Speaker Tulia Ackson prohibited further debate in parliament "until such time as further agreements related to the IGA are brought before us for review."
Nigeria’s presidential election tribunal ruled on Wednesday that Nigeria’s main opposition parties failed to prove claims of electoral malpractice against the governing All Progressives Congress (APC) in February’s disputed elections.
“This petition is hereby declared unmeritorious,” one of the judges said, as the tribunal rejected the opposition challenge to Bola Tinubu’s win in the presidential election.