Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #10,121
Tovuti ya tume iwe wazi na kuonyesha fomu ya kila kituo ili kila mpigakura ajihakikishie ile fomu aliyoiona kwenye kituo ndiyo iliyotumika kupata majumlisho ya kura za jimbo