New Age Paganism

New Age Paganism

Kupenda dini na kumpenda Mungu ni tofauti ikiwa unampenda Mungu kweli basi usijiwekee mipaka .

Sehemu pekee inayowakwamisha watu wa dini ni kujiwekea mipaka .

Mungu ni omnipresent na ni omnipotent Mungu hana mipaka na yupo mahala popote.

So katika kufanya 'manifestation' ni jambo la kweli na linatokea Mimi huwa nafanya Sana manifestation katika baadhi ya mambo yangu.

Ikiwa jambo haulielewi usilibishie Ila jaribu kulichimba kwa ndani.

Mambo ya kiroho hayana mipaka unaweza kutoka hapo ulipo na ukachungulia Mahala popote duniani maana universe imeunganishwa ni kitu kimoja.


Follow ur heart - hii ni kweli
Manifest ur dream - ni kweli

So dig more knowledge u will become smarter than you used to be.
Follow your heart in terms of good intentions and deeds. Manifest your dream without breaking God limitations.
 
Vijana wa kilokole kila siku watamkiwa POKEA ,miaka inasonga na hakuna cha maana wanachopokea ila wapo tu .
😁😁Mbona sisi walokole Kila siku? Kwani Nyie wa bikra sevente mbili na na mito ya wine hamhusiki?
 
Follow your heart in terms of good intentions and deeds. Manifest your dream without breaking God limitations.

Don't go beyond God limitation that is true

Kikubwa ishi Kama Mungu anavyotaka , usimwabudu MTU wala usipende kuabudiwa.

Be positive

Na mwisho jifunze hii kanuni.

'Tree perspective'

-Fruits
-Oxygen
-Shadow

Ntaelezea kuhusu tree perspective this will make you to fire and hire the people who supposed to be closed to you.
 
Don't go beyond God limitation that is true

Kikubwa ishi Kama Mungu anavyotaka , usimwabudu MTU wala usipende kuabudiwa.

Be positive

Na mwisho jifunze hii kanuni.

'Tree perspective'

-Fruits
-Oxygen
-Shadow

Ntaelezea kuhusu tree perspective this will make you to fire and hire the people who supposed to be closed to you.
Ukiwa tayari kuelezea juu ya tree perspective unitag kiongozi tafadhali
 
Don't go beyond God limitation that is true

Kikubwa ishi Kama Mungu anavyotaka , usimwabudu MTU wala usipende kuabudiwa.

Be positive

Na mwisho jifunze hii kanuni.

'Tree perspective'

-Fruits
-Oxygen
-Shadow

Ntaelezea kuhusu tree perspective this will make you to fire and hire the people who supposed to be closed to you.
Am waiting for that concept of Tree perspective, hope it will enlight me and expand my awareness.
 
Don't go beyond God limitation that is true

Kikubwa ishi Kama Mungu anavyotaka , usimwabudu MTU wala usipende kuabudiwa.

Be positive

Na mwisho jifunze hii kanuni.

'Tree perspective'

-Fruits
-Oxygen
-Shadow

Ntaelezea kuhusu tree perspective this will make you to fire and hire the people who supposed to be closed to you.
Mifano ya maneno hayo ni:

• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo

Unakubaliana na mtoa mada ?
 
Don't go beyond God limitation that is true

Kikubwa ishi Kama Mungu anavyotaka , usimwabudu MTU wala usipende kuabudiwa.

Be positive

Na mwisho jifunze hii kanuni.

'Tree perspective'

-Fruits
-Oxygen
-Shadow

Ntaelezea kuhusu tree perspective this will make you to fire and hire the people who supposed to be closed to you.


Tree perspective- ni mtazamo wa kumchukilia binadamu Kama mti

Binadamu anayebidi kuwa karibu na wewe anabidi kuwa na sifa za mti

Mti Una sifa zatu kubwa

@ Oksijeni
@ kivuli
@ matunda

Oxygen -pumzi ya binadamu hupatikana zaidi anapokuwa na MTU anayemtia moyo na kumpa matuamaini hii ndo oxygen wewe unampelekea huyo kabondaksaidi (matatizo) Ila yeye anakupa oxygen kukutia moyo.


@ Kivuli- hii ni sehemu ya kupumzika hasa baada ya kuwa umechomwa na jua - hivyo binadamu anabidi kuwa ni MTU ambaye kwake waweza kwenda kupumzika huyo ndo yule MTU anakusikiliza without any judgemental haijalishi umefanya nini na kukupa insight how you can get ahead.

@ Matunda - huyo ndo yule MTU atakuunganisha kazi somewhere ,atakuinua ili ufike juu , huyu ni MTU ambaye hutoa support ili usimame. Na kuendelea kusonga mbele.


Hivyo binadamu anapokosa sifa mojawapo hapo juu huyo anakuwa anaishi Ila Hana presence na Kama hauna presence huwezi kuwa na magnetic power yoyote

Tree perspective ukiitumia vizuri utajua kuwa katika huu mti nisipopata matunda ntapata kivuli na nisipopata kivuli ntapata oxygen Ila huo mti ukikosa mambo yeti matatu basi huyo MTU mtasumbuana sana
 
Back
Top Bottom