New BRT buses Banned by Nairobi County for being Low Quality 😂😂😂

New BRT buses Banned by Nairobi County for being Low Quality 😂😂😂

true...ndio nimekuwa nikiimba hapa ila kuna jamaa sijui kichwa chake kimejaa uji au maana yeye anaona basi ni of low quality tu...sijui maneno hayo mawili "low quality" anazielewaje
Wanapandwa na nyege bure, yakizinduliwa mengine hivi karibuni utaona wamekuwa wapooole. Kumbuka hii ni kampuni moja tu. Hao wengine hatujasikia chochote kutoka kwao, na ujue wao pia wanataka wapewe kandarasi yenyewe.
 
Wanapandwa na nyege bure, yakizinduliwa mengine hivi karibuni utaona wamekuwa wapooole. Kumbuka hii ni kampuni moja tu. Hao wengine hatujasikia chochote kutoka kwao, na ujue wao pia wanataka wapewe kandarasi yenyewe.

Kwendeni kwanza mkachongeshe mengine,sisi ndio wakaguzi[emoji23][emoji23][emoji23].

Tunaongea jf viongozi kenya wanafuata,tuliyaponda na wao wameyakataa[emoji2]
 
Kwendeni kwanza mkachongeshe mengine,sisi ndio wakaguzi[emoji23][emoji23][emoji23].Tunaongea jf viongozi kenya wanafuata,tuliyaponda na wao wameyakataa[emoji2]
Hahaha! [emoji1] Kumbe mnajijua? Endeleeni kuponda. Umesoma taarifa ya mada lakini? Kampuni, kadhaa sio moja tu, ambazo zipo hapa hapa Kenya zinapigania kupewa kandarasi yenyewe. Utanitag ukiona mabasi ya BRT 'Made in Tz' hapa Nairobi au hata huko huko Tz.
 
Hahaha! [emoji1] Kumbe mnajijua? Endeleeni kuponda. Umesoma taarifa ya mada lakini? Kampuni, kadhaa sio moja tu, ambazo zipo hapa hapa Kenya zinapigania kupewa kandarasi yenyewe. Utanitag ukiona mabasi ya BRT 'Made in Tz' hapa Nairobi au hata huko huko Tz.

Mlikuwa na haraka sana kuturingishia,tukawatajia dosari kwamba mnajaribu ila bado hamtoshi mboga[emoji16][emoji16][emoji16]

Tz hatutengenezi buses za BRT ila za aina nyingine zinatengenezwa.
 
yaani haya mabasi yangeachwa yaendelee kufanya kazi ningeshangaa sana.
 
City Hall bans Isuzu buses from routes over design queries
Oct. 19, 2018, 12:15 am
By JULIUS OTIENO @juliusotieno04
The buses launched by Isuzu East Africa for the Bus Rapid Transport (BRT) system in Nairobi. /COURTESY
The buses launched by Isuzu East Africa for the Bus Rapid Transport (BRT) system in Nairobi. /COURTESY


Isuzu East Africa yesterday suffered a blow after City Hall banned its two-high capacity buses from city routes over design concerns.

The county government yesterday said the buses do not meet the specifications set out by the Ministry of Transport and the Nairobi Metropolitan Area Transport Authority.

“We will not allow them on our roads because if we do, then other people will come with their own buses as long as they are high capacity,” Transport executive Mohamed Dagane said.

Vehicle manufacturers are jostling for a share of high capacity buses after it emerged that the government is working to introduce Bus Rapid Transport (BRT) system to revamp public transport and reduce the congestion.

Read: Isuzu unveils BRT buses, matatu operators welcome move

Dagane said the team had agreed on specific features which were supposed to be gazetted by the Kenya Bureau of standards.

The buses are supposed to have flat floors without stairs on the doors, the aisle should be wider to allow two or three people to pass at ago.


“There was also specific size of the door and the number of doors that such buses should have because when we talk of BRT, we are taking about the capacity, efficiency and time,” he said.

Already a lane has been dedicated for the buses on Thika Superhighway awaiting arrival of 100 high capacity buses that the government is planning to import.

The Isuzu buses have a speed limit of 60 kph and can ferry between 62 and 100 passengers at a go. The firm said the buses are locally assembled and specifically designed for Kenya’s BRT system.

“We have to be careful with what we allow on our roads because we might end up in the same trouble like the one we are in,” Dagane told the Star yesterday.

Read: State introduces dedicated lane for PSV buses plying Thika Road

Click here for the latest political news
A certain young +254 bragged about the 'made in kenya buses' i dont know what he has to say about this.
 
Yaani wanaanza kufeli kabla hawajaanza smh!,bora hata udart japo inapumulia mashine
 
Mlikuwa na haraka sana kuturingishia,tukawatajia dosari kwamba mnajaribu ila bado hamtoshi mboga[emoji16][emoji16][emoji16]

Tz hatutengenezi buses za BRT ila za aina nyingine zinatengenezwa.
Unamaanisha mnatengeneza body za mabasi au mabasi yenyewe(assembly)? Umechanganyikiwa nini? Hata hayo mabody kampuni nyingi za Tz huwa zinaagiza kutoka Kenya. Hivo vitu vilianza kufanywa zamani sana huku Kenya. Nionyeshe ushahidi wa assembly plant yeyote ya kutengeneza magari Tz. Kazi umbea tu.
 
Unamaanisha mnatengeneza body za mabasi au mabasi yenyewe(assembly)? Umechanganyikiwa nini? Hata hayo mabody kampuni nyingi za Tz huwa zinaagiza kutoka Kenya. Hivo vitu vilianza kufanywa zamani sana huku Kenya. Nionyeshe ushahidi wa assembly plant yeyote ya kutengeneza magari Tz. Kazi umbea tu.

Sasa povu la nini???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Haya nitajie kampuni ya kutengeneza magari ya kenya.
 
and may I ask why they've been banned according to you?...hizo basi zinaweza fanya kazi hata New York...hivyo hakuna shida ya quality hapo...ni design tu ndio haikumatch specifications...plus it is very easy for Isuzu EA to change the design to match City Hall's specifications..basi zilitengenezwa mbili au tatu tu...hivyo sioni shida yoyote hapo...na hizi watauza uganda au kwingine..subiri tu uone
View attachment 903215

New York? hahahahaha......
Hiyo design unayosema hapa ni life threatening, na kama kitu ni life threatening ni bad quality. Kwanza Nairobi haiko tayari kwa BRT meaning infrastructure like bus stops and terminal are safe for passengers. Hizo basi hazikutakiwa kuwa na ngazi milamgon ili kuwezesha kila mtu hata mlemavu au mama mjamzito wanaweza kupanda. Vioo madirishani ni low quality maana gari ikipata ajali chakwanza kinachotokea ni abiria kuumizwa na vioo. Milango sio automatic (controled by driver) kuzuia watu kufunguwa wakati gari inakwenda mwendo wa kasi.
 
Unamaanisha mnatengeneza body za mabasi au mabasi yenyewe(assembly)? Umechanganyikiwa nini? Hata hayo mabody kampuni nyingi za Tz huwa zinaagiza kutoka Kenya. Hivo vitu vilianza kufanywa zamani sana huku Kenya. Nionyeshe ushahidi wa assembly plant yeyote ya kutengeneza magari Tz. Kazi umbea tu.

"Hata hayo mabody kampuni nyingi za Tz huwa zinaagiza kutoka Kenya."

NO NO NO and NO again.
 
Hawakuangalia mchoro/design kabla ya kuanza kuundwa imekuwaje mabasi yametengenezwa hapohapo Kenya alafu yakosolewe baada ya kukamilika!!!
 
Back
Top Bottom