NEW CABINET 2020: Ninaomba iwe desturi kwa Waziri wa Utalii kuakisi shughuli za ofisi yake kwa mavazi anapokuwa anakula kiapo cha utii kwa Jamhuri

NEW CABINET 2020: Ninaomba iwe desturi kwa Waziri wa Utalii kuakisi shughuli za ofisi yake kwa mavazi anapokuwa anakula kiapo cha utii kwa Jamhuri

Waziri wa utalii pia anahusika na utamaduni? Najua watalii wanakuja kuangalia rasilimali zetu za asili, kama wanyama, milima, maziwa mapango n.k. ila mavazi, tena ya kiutamaduni, sidhani kama ni sehemu ya utalii.
 
Utalii wowote kwisha habari yake
Wazungu washaogopa COVID
Lile nyomi la watalii miaka hiyo ni historia haitojirudia
Sasa kazi tu sio Hapa kazi tu
 
1. Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa
2. Fedha.... Mpango Philip
3. Nje...... Palamagamba Kabudi
4. Ulinzi..... Makame Mbarawa
5. Kilimo......Hussein Bashe
6. Mifugo.... Luhaga Mpina
7. Viwanda/Biashara.... Charles Kimei
8. Maji.... Kitila Mkumbo
9. Uwekezaji.... ?????????
10. Madini.... Dotto Biteko
11. Umeme .... Merdard Kalemani
12. Afya....Ummy Mwalimu
13. Elimu.... Joyce Ndalichako
14. Tamisemi .....Suleiman Jafo
15. Ujenzi.....?????????
16. Mambo ya ndani.......??????
17. Mazingira.......??????
18. Utalii..........????????
19. Michezo.......??????
20. ????
MAMBO YA NDANI NI HUMPHREY POLEPOLE
 
Sio huyo tu,waziri wa ulinzi nae avae Gwanda,Amiri Jeshi mkuu nae Avae Gwanda.
Rais wa wanyonge nae avae ma lapulapu ku tanabaisha nchi maskini Tanzania.
Waziri wa Madini nae atinge kila aina madini na vito vya thamani.
Haki sawa kwa wote,
Sio maliasiri avae ngozi afu wa mazingira avae thuti.
Hapo kwenye wanyonge 🙄🙄🙄
 
hatuhitaji kuona mbwembwe, watanzania wanataka kuona kero zao mbalimbali zinatatuliwa sio mbwembwe, huu sio muda wa show off ni KAZI KAZI
Sidhani kama umenielewa boss. Mimi ninazungumzia utamaduni na sio showing off.

Mimi ninasema waziri ndiye anayepaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuvaa nguo za asili.
 
Waziri wa utalii pia anahusika na utamaduni? Najua watalii wanakuja kuangalia rasilimali zetu za asili, kama wanyama, milima, maziwa mapango n.k. ila mavazi, tena ya kiutamaduni, sidhani kama ni sehemu ya utalii.
Waziri anakuwa ni wa maliasili pamoja na utalii
 
Utalii wowote kwisha habari yake
Wazungu washaogopa COVID
Lile nyomi la watalii miaka hiyo ni historia haitojirudia
Sasa kazi tu sio Hapa kazi tu
Mungu yupo nasi hakika atazidi kuibaraiki nchi yangu ya Tanzania na watalii watazidi kumiminika kama zamani.
 
Back
Top Bottom