Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu...Waziri wa utalii pia anahusika na utamaduni?
MAMBO YA NDANI NI HUMPHREY POLEPOLE1. Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa
2. Fedha.... Mpango Philip
3. Nje...... Palamagamba Kabudi
4. Ulinzi..... Makame Mbarawa
5. Kilimo......Hussein Bashe
6. Mifugo.... Luhaga Mpina
7. Viwanda/Biashara.... Charles Kimei
8. Maji.... Kitila Mkumbo
9. Uwekezaji.... ?????????
10. Madini.... Dotto Biteko
11. Umeme .... Merdard Kalemani
12. Afya....Ummy Mwalimu
13. Elimu.... Joyce Ndalichako
14. Tamisemi .....Suleiman Jafo
15. Ujenzi.....?????????
16. Mambo ya ndani.......??????
17. Mazingira.......??????
18. Utalii..........????????
19. Michezo.......??????
20. ????
UWEKEZAJI NI PROF MKENDAMAMBO YA NDANI NI HUMPHREY POLEPOLE
Hapana mkuu, Polepole ni Habari sanaa na Michez0MAMBO YA NDANI NI HUMPHREY POLEPOLE
Sawa mkuuHapana mkuu, Polepole ni Habari sanaa na Michez0
Asante kwa kuandika mkuu...hatuhitaji kuona mbwembwe, watanzania wanataka kuona kero zao mbalimbali zinatatuliwa sio mbwembwe,
Hapo kwenye wanyonge 🙄🙄🙄Sio huyo tu,waziri wa ulinzi nae avae Gwanda,Amiri Jeshi mkuu nae Avae Gwanda.
Rais wa wanyonge nae avae ma lapulapu ku tanabaisha nchi maskini Tanzania.
Waziri wa Madini nae atinge kila aina madini na vito vya thamani.
Haki sawa kwa wote,
Sio maliasiri avae ngozi afu wa mazingira avae thuti.
Kwenye wanyonge amekosea sana mzee babaHapo kwenye wanyonge 🙄🙄🙄
Sidhani kama umenielewa boss. Mimi ninazungumzia utamaduni na sio showing off.hatuhitaji kuona mbwembwe, watanzania wanataka kuona kero zao mbalimbali zinatatuliwa sio mbwembwe, huu sio muda wa show off ni KAZI KAZI
Daaah, nani kasema mkuu?UWEKEZAJI NI PROF MKENDA
Nyie watu haya mambo mnayajulia wapi? Mnanitisha sana mjueMAMBO YA NDANI NI HUMPHREY POLEPOLE
Waziri anakuwa ni wa maliasili pamoja na utaliiWaziri wa utalii pia anahusika na utamaduni? Najua watalii wanakuja kuangalia rasilimali zetu za asili, kama wanyama, milima, maziwa mapango n.k. ila mavazi, tena ya kiutamaduni, sidhani kama ni sehemu ya utalii.
Nimem-miss sana Makonda20. Paul Makonda (Waziri asiye na Wizara Maalum)
Mbona katika safari channel inaonekana wageni wanakuja sana kutalii katika vivutio vyetu mkuu...Utalii wowote kwisha habari yake
Wazungu washaogopa COVID
Mungu yupo nasi hakika atazidi kuibaraiki nchi yangu ya Tanzania na watalii watazidi kumiminika kama zamani.Utalii wowote kwisha habari yake
Wazungu washaogopa COVID
Lile nyomi la watalii miaka hiyo ni historia haitojirudia
Sasa kazi tu sio Hapa kazi tu
Thanks bro ingawa mimi sio mpareHongera kwa mawazo positive mdogo wangu Mpare.