We umemwamini huyu ni mziba riziki tu,kaona last week dada kasema yupo single Leo kaibuka yeye eti wako in love,Kuna bwege aliwahi niandikiaga ushubwada kama huu alinikera mpaka leo hatupendani yaani๐๐Nasubiri tamko mama shughuli nipo hapa
HahahahahaWe umemwamini huyu ni mziba riziki tu,kaona last week dada kasema yupo single Leo kaibuka yeye eti wako in love,Kuna bwege aliwahi niandikiaga ushubwada kama huu alinikera mpaka leo hatupendani yaani๐๐
Eti bwege aliandikaga ushubwada kama huu...hahahahha..huyo bwege itakua alikuharibia sana aisee ..dah pole sanaWe umemwamini huyu ni mziba riziki tu,kaona last week dada kasema yupo single Leo kaibuka yeye eti wako in love,Kuna bwege aliwahi niandikiaga ushubwada kama huu alinikera mpaka leo hatupendani yaani๐๐
๐๐๐Hahahahaha
Hahahaha...pole sana aisee itakua alikua kuudhi sana mpk hutaki kuongea nae ..dah๐๐๐
shemeji yetu ni msomi wa mambo ya helaHili jina la shemeji yetu mnalionaje wanafamilia , wajomba akina Half american raraa reree mshamba_hachekwi na upande wa mawifi Nifah Unique Flower Hannah na wengineo
Achana tu na kuniharibia,nilikuwa simpendi hata comment zake,hivyo alivyoandika na huo ujinga wake alikera sana...ila alikoma mazoea siku hiyo hiyo maana sikumlazia damuEti bwege aliandikaga ushubwada kama huu...hahahahha..huyo bwege itakua alikuharibia sana aisee ..dah pole sana
Hahahahaha kama nakuona vile ulivyomuwakia ..hahahahahaha..aisee ila usikute alikuwa serious ujueAchana tu na kuniharibia,nilikuwa simpendi hata comment zake,hivyo alivyoandika na huo ujinga wake alikera sana...ila alikoma mazoea siku hiyo hiyo maana sikumlazia damu
Unajua mfano nikikuta Mtu kama ERoni kaniandikia Uzi Siwezi shangaa maana nishazoe utani wake wa Kila siku,ila unakuta mtu hata humjui alikotokea kaja na waraka,unanyong'onyea๐Hahahaha...pole sana aisee itakua alikua kuudhi sana mpk hutaki kuongea nae ..dah
May be he is right.Wasagia kunguni wameingia [emoji3][emoji3]
Hamna ni kuvuka tu mipaka,Hakuwa na userios wowote walio serious hawanaga Hizo mamboHahahahaha kama nakuona vile ulivyomuwakia ..hahahahahaha..aisee ila usikute alikuwa serious ujue
Hahahahaha..sasa huyo ndio anakua yuko serious..hataki utani ..msifanye mambo yawe magumu jamani..ndio maana watu wanaogopa kuja PM ,vipengele vingiUnajua mfano nikikuta Mtu kama ERoni kaniandikia Uzi Siwezi shangaa maana nishazoe utani wake wa Kila siku,ila unakuta mtu hata humjui alikotokea kaja na waraka,unanyong'onyea๐
Hivi lakini babuVinywa vya Wazee vimeumbwa kunena mazuri tu
Ikawe heri kwenu nyote Wakuu
Muishi hadi muufikie Uzee pamoja
Hahaaa na bado ukaniacha
Mwenye Yuko serious hawezi Fanya hivi,naamini huu ni utani,lakini the way mlengwa alivyokaa kimya inaonyesha hajapenda,amini nakuambia...Hahahahaha..sasa huyo ndio anakua yuko serious..hataki utani ..msifanye mambo yawe magumu jamani..ndio maana watu wanaogopa kuja PM ,vipengele vingi
Ok ila huwezi kujua maybe alikuwa seriousHamna ni kuvuka tu mipaka,Hakuwa na userios wowote walio serious hawanaga Hizo mambo