Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
We unahisi kuna ndoa hapo .Angalizo huyo bidada haitaji kujuana muda mrefu maana umri umemtupa mkono hongera kwa kumpata dark chocolate.
Nb: Ni mwanamke mmoja mpambanaji sana na usiniulize nimejuaje na siku ya harusi yenu nitakuwepo kama kweli umedhamiria
Hapa naona jamaa ana betWe unahisi kuna ndoa hapo .
Kama unamhudumia daily labda ila kama hujawahi hata sikumoja afu hiyo kukuomba Mara moja ndio mizinga....hakika kuna umuhimu wa kila mtu kusimamia anachokiaminiHahahaha..sio kweli..nyie mnapenda hela sio mtu..ndio maana mizinga mingiiii mpk inakera
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 tumekuja kanisani ila bibi harusi kapotelea kusikojulikana😂
Utabidi uwe na hela ili upendwe la sivyo tulia tuu uwe mtazamaji.Sidhani...na hapo ktk sababu ni Hela tu kama huna Hela huwezi kupendwa na mdada Mkuu..wao wanapenda hela tu sio mtu
Swadakta kabisa...Utabidi uwe na hela ili upendwe la sivyo tulia tuu uwe mtazamaji.
Mizinga daily...tena mizinga mingine mpk mtu unashangaaKama unamhudumia daily labda ila kama hujawahi hata sikumoja afu hiyo kukuomba Mara moja ndio mizinga....hakika kuna umuhimu wa kila mtu kusimamia anachokiamini
Ni haki yako ya kikatiba kabisa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanini? Sitakiwi kuwa nae mkuu?
Ngumu sana lazima kilainishi hela kihusike kwa asilimia kubwa.Hahahahahaha..ndio maana mie siamini kama wadada huwa wanampenda mtu ...yaani akae tu akupende ? Wee hiyo ngumu
Mnapenda kuhudumiwa daily...hahahahahaha..dah mchepuko halafu una force huduma km mke ..hahahahahaha..dahKama unamhudumia daily labda ila kama hujawahi hata sikumoja afu hiyo kukuomba Mara moja ndio mizinga....hakika kuna umuhimu wa kila mtu kusimamia anachokiamini
HakikaMizinga daily...tena mizinga mingine mpk mtu unashangaa
Yeah,nastahili mkuu🤓Ni haki yako ya kikatiba kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
....Amejiinua shetani!!Mtaachana Tu!
🤣🤣🤣atakuja mkuuBwana harusi na yeye ametokomea kusikojulikana baada ya kuona ngoma bado ngumu. Anyway, ngoja tumsubiri bibi harusi labda dakika za jiooooooni kabisa atatokea
Hebu fikiria mapenzi yanavyochanganya, halafu uchanganyikiwe huna hela🤣🤣🤣Ubarikiwe sana mom....niliapa sitoamini mtu tena kiboya....ninae mpenzi ila Akibaki Sawa akienda sawa tu
Ndio maana mimi naamini hakuna mdada anapenda mtu hana hela tena hela ile ya mizinga muda woteNgumu sana lazima kilainishi hela kihusike kwa asilimia kubwa.
Amiin🙏🏽Hebu fikiria mapenzi yanavyochanganya, halafu uchanganyikiwe huna hela🤣🤣🤣
Nakuombea aendelee kubaki.