New Couple in Town! I love you so much!

New Couple in Town! I love you so much!

Mnapenda kuhudumiwa daily...hahahahahaha..dah mchepuko halafu una force huduma km mke ..hahahahahaha..dah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hakika wanaume wachache sana.Afu kuna ile unaweza mheshimu mwanaume kama mwanaume kumbe ni mvulana wa mipasho kila kona ya ukuda yumo...unabaki 😳.....ila hudumieni bhana ndo uanaume ujue
 
Ndio maana mimi naamini hakuna mdada anapenda mtu hana hela tena hela ile ya mizinga muda wote
Rejea hekaya za uumbaji, Adam aliumbwa kamili, akaletewa mke Kama msaidizi.....
Akaambiwa mume ampende mke, mke amtii mume.....kanuni ya utiifu ni kumtii anayehudumia, hata mbwa humtikisia mkia anayempa chakula.

Toa hela ule mema ya dunia....achana na 50/50
 
Swadakta atakuigizia kweli then utasikia ..mama anaumwa...sijui vicoba nimechelewesha..sijui mtoto ada...mara nataka kufanya hiki ..yote hayo mizinga

Kama umeelewq hivyo sawa sawa
Sasa hivi ni mwendo wa nipe nikupe na hapo mwanaume jitahidi sana ndio umzidi mbinu vinginevyo akikuzidi atakufilisi. Hawakosagi sababu ya kutaka hela.
 
Rejea hekaya za uumbaji, Adam aliumbwa kamili, akaletewa mke Kama msaidizi.....
Akaambiwa mume ampende mke, mke amtii mume.....kanuni ya utiifu ni kumtii anayehudumi, hata mbwa humtikisia mkia anayempa chakula.

Toa hela ule mema ya dunia....achana na 50/50
Kuna ukweli kwenye hili, nowdays usipotoa hela unaonekana kama mbuzi tu
 
Kuna ukweli kwenye hili, nowdays usipotoa hela unaonekana kama mbuzi tu
🤣🤣🤣🤣, Mila zote za kale ili kijana aoe lazima awe anajiweza na kumudu kuhudumia mke🤣🤣🤣 tena mzazi angemuongeza na vimifugo vimsaidie.
Tatizo siku hizi mambo yamerahisishwa....kijana jobless nae anataka mpenzi🤣🤣🤣 watalia sana.....mapenzi gharama
 
🤣🤣🤣🤣, Mila zote za kale ili kijana aoe lazima awe anajiweza na kumudu kuhudumia mke🤣🤣🤣 tena mzazi angemuongeza na vimifugo vimsaidie.
Tatizo siku hizi mambo yamerahisishwa....kijana jobless nae anataka mpenzi🤣🤣🤣 watalia sana.....mapenzi gharama
Hahahahahaha..na raha ya kuhumudia huudumie mke au mdada unayejua huyu sawa anastahili
 
🤣🤣🤣🤣, Mila zote za kale ili kijana aoe lazima awe anajiweza na kumudu kuhudumia mke🤣🤣🤣 tena mzazi angemuongeza na vimifugo vimsaidie.
Tatizo siku hizi mambo yamerahisishwa....kijana jobless nae anataka mpenzi🤣🤣🤣 watalia sana.....mapenzi gharama
Jobless nae ana moyo na hisia 😂

huna hela huna chako wewe n mdau tu wa mapenz kwa muda.
 
Nani wa kike sasa kati Yako na huyo uliyemtaja ?
Very new couple mjini!!

Sio siri tena.

Baada yakuwa single kwa muda mrefu, imeamulika sasa.

Usingle tupa kule.
View attachment 2925343
My darling love financial services,

I want to declare to the world and whole JF community Nakupenda sana!

Ladies & Gentlemen its our time!

View attachment 2925354
My One and Only financial services.

I promise to Love and care for you to Infinity...

Am happy to have you my darling love.
 
Back
Top Bottom