Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hahaha, hahahaha, mkubwa Yana furahisha sana.Hahahahaha..maudhui yakoje lkn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, hahahaha, mkubwa Yana furahisha sana.Hahahahaha..maudhui yakoje lkn
Haya sawa hongereni sanaVery new couple mjini!!
Sio siri tena.
Baada yakuwa single kwa muda mrefu, imeamulika sasa.
Usingle tupa kule.
View attachment 2925343
My darling love financial services,
I want to declare to the world and whole JF community Nakupenda sana!
Ladies & Gentlemen its our time!
View attachment 2925354
My One and Only financial services.
I promise to Love and care for you to Infinity...
Am happy to have you my darling love.
hatari na nusu.JamiiForums balaa! Noma.
🤣 🤣 🤣 Hapana ulikua ni uchuro huu page zaidi ya 20 mpendwa haonekaniHahahahaha..wanayajenga nje ya jukwaa...hii ilikua taarifa tu
Mnawahi nini Mr Jobless 🤣 🤣Aliye andikiwa Uzi, hasemi lolote 🤓🤣
Muache,akikua hatoshangaa🤣
30+ na mvi zimeanza chomoza angle mbaya, bado ni kijana🙄 acheni kutuwekea kauzibe ma bro🤣🤣
Taratibu basi tafuta chaka lingine mkuu🤣🤣30+ na mvi zimeanza chomoza angle mbaya, bado ni kijana🙄 acheni kutuwekea kauzibe ma bro🤣🤣
Yana muda basi haya?Sijui kwann hua naamini penzi lolote linalotumia platform flan kuaminisha watu wanapendana naona kama Lina tatizo hv
Ukweli hauhitaji kujieleza mkuuNadhani kuna ka-utoto flani hivi kwenye haya matangazo.
Sioni haja ya kutangaza mapenzi yenu kwa watu.
🤣🤣🤣Mi nawaombea ndoa wasiishie kwenye kupigana doggy style tuYana muda basi haya?
Soon mtu atalia hapa
Kwamba mtoa mada kakurupuka🤣🤓Nmekaa nkaufuatilia huu uzi wote sijui ndio umbea unaanza hivii
Bora ungemwambia kimyakimya kuliko kuandika maneno elfu na usjibiwe hata silabi moja, inaumiza sana,..
Siku niki kuandika Uzi, usipo jibu hauta nisahau 🤣🤓Mnawahi nini Mr Jobless 🤣 🤣
And the best doggy style award goes to financial services na mumewe..!🤣🤣🤣Mi nawaombea ndoa wasiishie kwenye kupigana doggy style tu
Sikutumii na nna kesi naweweNimefanyaje Mjukuu [emoji847], unataka nawe nikubariki kama Yakobo na Essau?
Fanya kunitumia Kiko zangu kwanza [emoji12]