Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Aiseeh umeni frahisha Sana mkuu Nina imani shemeji kakushika paba yaππMiezi ishaisha.
Sawa sawa mkuu
Ni watu kujihami tuNyuzi za namna hii zinatembea sana
Ni either tunapenda umbea ama tunapenda watu wapendane
Hongera financial services
Msinisahau kwenye mchango π
Linazoeleka unaona kawaida tuBaada ya kuloweka mara kwa mara inakuwaje mkuu?π€£π€£π€£
πππSijui kwann hua naamini penzi lolote linalotumia platform flan kuaminisha watu wanapendana naona kama Lina tatizo hv
Mbona manzi yako hachangamkii uziOur love is true and real!!