EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Sio sababu aisee, mbona wapo wanaolewaKawaida,am singlemom so they are right to fear meš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio sababu aisee, mbona wapo wanaolewaKawaida,am singlemom so they are right to fear meš
Binafsi sijatarget huba lako, nachojaribu kusema ni kwamba mara nyingi mapenzi yenye aina flan ya kutaka watu wajue abc zenu kutaka watu waamini mnapendana sana bas pana shida hapo....siku za wapendanao zikitimia utajua ile marketing yote ilikua hadaa tu š¤£š¤£š¤£ mfano mzur mbona hata humu nyuzi kibaoSikia, sisi wala hatuna mpango wa kuonyeshana. Ni mimi tu nafikiri itakuwa vyema nikiwaletea thread moja tu ya love story yetu maana ina mengi ambayo kiukweli napenda watu wajifunze.
Ila hawa Uto kama Charles kilian wana majini...šKwa marafikize š¤Øā¹ļø
Hii penalty lazima nipate kaka sipaishi juuWewe Mwana Uto Charles kilian haya hii ni penalty, upaishe sasa.
Na usifanye hivyo Kabisa...hao ni wapitaji tuš„°Hahahahaha sijachukua hela kwa mie
š¤£š¤£š¤£sawasawa š¤ØHii penalty lazima nipate kaka sipaishi juu
[emoji28][emoji28] wewe utakua unawasema akina Chazi siyo akina Chale.[emoji1787][emoji1787]kina chale ni noumaa
š¤£š¤£š¤£ššæIla hawa Uto kama Charles kilian wana majini...š
Kwenye mapenzi kuna kupanda na kushuka.Binafsi sijatarget huba lako, nachojaribu kusema ni kwamba mara nyingi mapenzi yenye aina flan ya kutaka watu wajue abc zenu kutaka watu waamini mnapendana sana bas pana shida hapo....siku za wapendanao zikitimia utajua ile marketing yote ilikua hadaa tu š¤£š¤£š¤£ mfano mzur mbona hata humu nyuzi kibao
Eee kina charz nao ni balaa[emoji28][emoji28] wewe utakua unawasema akina Chazi siyo akina Chale.
š¤£š¤£š¤£nlitegemea comment ya hvUsiwapangie watu maisha na usiwe na wivu. Don't be serious in this internet issues mkuu.
Nishawahi olewa mkuu,na kufichaficha huwa siwezi....huwa naongea ukweli nahisi ndiyo unaoniponzaSio sababu aisee, mbona wapo wanaolewa
Hahahahaha..si kweli wape nafasiNa usifanye hivyo Kabisa...hao ni wapitaji tuš„°
Njoo tupate mtoto wa 3š„“š„°Nishawahi olewa mkuu,na kufichaficha huwa siwezi....huwa naongea ukweli nahisi ndiyo unaoniponza
š¤£š¤£ yeah,hakika wanastahiliHahahahaha..si kweli wape nafasi
Asante sana mkuu.Mkuu nilichofurahi ni kwamba mmepatana wote ni wastaarabu, (kwa mtazamo wangu kutokana na michango yenu humu), hivo nawatakia kila la heri katika safari yenu ya kuwa pamoja