[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] khaaa wema wa zamani au wa sasa?

Mzigua umeniacha hoi
Wa zamani kipindi ni Tz Sweetheart.

Halafu mbona dada enu anatutishia na breaking news ambazo tulishaziona miezi ya nyuma?

Da Mange wa Uturn na huyu wa sasa hivi tofauti. Huyu wa sasa hana story anachukha za wenzie anazibreakisha

Cc Dinazarde
 
Dada bakisha na akiba ya maneno
.
 
Kabisaa yaani akibeba mimba imekuba kwake mazima!atajuta kuzaliwa na ataona rangi zote!
Yaani Zuchu na akifanya masikhara mziki utaishia hapo!!

Hajajifunza yule kaka sijui ana nini maana sio kwa wanawake kujilengesha hukoo!!!
Pesa pesa pesa reymage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…