New couple in town
Hyo siri ya kambi!yawezekana kabisaa

Ila mziki wa bongo ukiwa binti inabidi utoe sana mbunye,maana Nandera alikua na jasiri,kabla akina mwasiti wote kushine kule mwanzoni walikua wanaliwa, Ray C mpk aligombana na Zama, Jide ndo enzi hizo it was history walienda south wakalala room moja jasiri na jide habari zikafika bongo!!!

Queen alikuwa anadate na mzee wa yoo!
Zuchura nae kaona bora ajiongeze la sivyo atachunda buree!
Hii nchi ngumu sana
 
Trust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.

Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.

Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.

Kuna mtu anakubali ukweli huu?
kama inakuja hivi halafu inakataa
 
Ni Nassib Abdul tena almaarufu kama Diamond Platnunz, zee la kubadilisha flavor.
Toto Mama Sandra, zee ka kutumia fursa.
 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy tobo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Never intertain a servant
 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy tobo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu
Yaani nimecheka mpaka nimekaa chini hapa hapa sokoni aisee!!
 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy tobo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani umenichekesha mimi
 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy tobo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wera wera
 
Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz.

Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

View attachment 2068918

Kabla ya kuwa na Dada Sukari alikuwa anatoka na yule presenter wao(Aaliyah), ila sasa kahamia kwa Dada wa Kikojani. Dada mtangazaji Gari kanyang'anywa karudi kupanda bajaji na kushika bomba, walikuwa mashosti na Zuchu ila urafiki umekufa maana kamnyang'anya tonge mdomoni na nasikia anataka kuhamia Radio ya Baba G (Majizzo) maana pale tena mambo yamekuwa mengi.

Ila wanawake wengi mwalimu wetu kipofu. Yaani kijana huyu alivyowapiga matukio mama watano Zari the Bosslady, mama D Hamisa Mobetto na yule Dada wa Kikenya Tanasha bado wengine wanajichomeka na kujionesha live live bila chengaa. Si bora wangekuwa wanaliwa kimya kimya tuu!! Hivi hatujifunzi eeehhh!!!!daah!!!

Anyway kila mtu na lake na mchumia janga hula na wa kwao!

Tunasubiri single mama mwingine mjini maana wadada wanakimbilia kujibebesha mimba fastaa ili waache chapa yake. Mjanja alikuwa cappuccino Tunda tu ambaye inadaiwa hakutaka hata kuwa na kizagyote cha mshikaji alikuwa anazichomoa tu kila akipata.

Haya sasa wenye timu zetu haswa team Hamisa tuone mkihamia kwa Dada wa Kikojani Zuchu kumtusi maana mmemtusi mama D mpaka Leo hamjakubali kumove on!!! Kama nawaona vile hukoo waliko Leo Team Zari wakijiandaa mashambulizi dhidi ya Dada Sukari!!

RIP my cousin Warumi! We Miss you[emoji8][emoji8][emoji8]
Mambo ya kawaida sana haya
 
Back
Top Bottom