Pisi zote za mjini unaenda kuoa demu hana hata chura,kweli uchawi upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pisi zote za mjini unaenda kuoa demu hana hata chura,kweli uchawi upo
Wasio na chura wengi ndio wanaitwa mrs fulaniPisi zote za mjini unaenda kuoa demu hana hata chura,kweli uchawi upo
Wakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa
Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo
Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji
Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda
VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !
Pia soma,
[URL unfurl="truNimekuta watoto wa mjini sehemu wanabshana.Kumbe ndiyo sababu nimekuta ubishi sehemu fulani ukiendelea. Mmoja kwa sauti aan
Nitakuwa wa mwisho kaumini hili. Hii kiki tu kama kiki zingine kuna jambo watazindua hakuna ndoaWakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa
Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo
Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji
Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda
VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !
Pia soma,
New couple in town
Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz. Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Kabla ya kuwa na...www.jamiiforums.com
Mara nyingi wanaume uwa tunatoka na pisi kali lakini uwa tunaoa wanawake wa kawaida. Pisi kali za kutafuna tu si kuoa unless unataka ndoa isidumu, au ufe mapema.Pisi zote za mjini unaenda kuoa demu hana hata chura,kweli uchawi upo
Itakuwa ni sababu za kiufundi. kiufundi chura weng ni magogo kunako 6*6Pisi zote za mjini unaenda kuoa demu hana hata chura,kweli uchawi upo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy tobo la kutokea
Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu
Hujakutana na mafundi weweItakuwa ni sababu za kiufundi. kiufundi chura weng ni magogo kunako 6*6
Strategies za kiki Diamond anazitumia tokea anaanza muziki, hao unaowasema amewakuta kwenye music industry na akawapita na kawafunika vibaya hivi sasa anashindanishwa na artists wa nje.WCB bila kiki,mambo hayaendi!
Watateseka sana kuzima moto wa "utu"!
Wimbo wetu wa valentine ni Huo,tumeshaamua kama kamati!
Haya yote umeandika wewe ehhNemekuta ubishi mahala fulani, sikujua kwa nini wanabishana haivyo.
-"Dai akimwona huyo..., hata kama ni uchawi utadunda siku hiyo hiyo ya ndoa. Labda anamwoa kuondoa nuksi, ama kalazimishwa'.....pengine mja mzito tayari labda halafu mother kakomaa..", ....hakuna chemistry kabisa kweny ehiyo pair......... ",
Sauti nyingie, "ataoaje mtu ana macho kama njegere pori, uso kama tumbili, ... shape hana, tumbo kama anawatoto watano tayari, ..... sijui nini. "Kweli sikuelewa",
Nikasikia mwingine anasema, kuchamba kwingi, kushika mavi. Mchagua nazi kupata koroma.
Kachezea wenye sifa ya kuwamother house wa haja, kaangukia kwenye tunguri. Hata mziki wake sasa mwisho. Uchawi hauachi mtu salama.
Sio mimi, niliskia kundi moja wanazozana, lakini sikujua nini kinaongelewa.
Kila la kheri kwao.
Ndiyo, nikinukuu niliyasikia tena baadhi tu.Haya yote umeandika wewe ehh
chura siyo ya kuweka ndani wewePisi zote za mjini unaenda kuoa demu hana hata chura,kweli uchawi upo
Sawa mkuuNdiyo, nikinukuu niliyasikia tena baadhi tu.
NDOA IKO WAPIWakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa
Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo
Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji
Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda
VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !
Pia soma,
New couple in town
Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz. Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Kabla ya kuwa na...www.jamiiforums.com
MKUU UKAKAA KABISA NA KUJUA WANAONA?🤣🤣Strategies za kiki Diamond anazitumia tokea anaanza muziki, hao unaowasema amewakuta kwenye music industry na akawapita na kawafunika vibaya hivi sasa anashindanishwa na artists wa nje.
All in all hata mimi nadhani hii ni kiki ya ku-boost show ya Zuchu pale Mlimani City on 14th-Feb siku ya Valentine na si zaidi ya hilo, but nobody knows for sure so let's wait and see[emoji2369][emoji2369]!
Panaweza kuibuka unexpected surprises[emoji15][emoji15].
full mahaba kiss and touch everywhere SIO GUARANTEE YA KUOLEWA AU NDOAJana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere