New couple in town
Kimnana midomo inamuangusha...mikubwa, minene ila mzuri
Shangazi anataka kuwa kama rubii, anataka kuwa mdogo mdogo waendane na kusah[emoji38][emoji38][emoji1787]

Ila mademu wa kibongo jau sana aagh[emoji848][emoji38]
[emoji3][emoji3][emoji3]shangazi alisemaga atafanya tu sajari ya tumbo!anataka avae vipanchunchu!!amkomesha mama Nonoo!!!
 
Uwoya na lulu nakubali...ila mobero hapana angekuwa mtamuu asingefichwaa kama dawa za Arv[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]

Rosay kaonja onja kaona mmh mbona havieleweki chungu or tamu, kasepa hivi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Hutakaa umsikie rosay asilani, imetoka hiyoo
Wee!muulize price shoooo!!!anajua mziki wake!
Mobero atajua mwenyewe!wake!kashaliwa na rosay imelala yooo!!imebaki story!
 
Kwahyo kuna watu wata download hyo app ya mange na kulipia ili wapate umbea😂😂
 
Hahahaha kino tena...hiyo mitaa kwanza naiogopaaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siyo wewe ila mikato mnafanana!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]kino sio!!eehh
 
Abee!!!siku nimeweka picha yako kwa status nkaambiwa kwenu wote wazuri!!!Mimi tena ahsante[emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Trust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.

Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.

Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.

Kuna mtu anakubali ukweli huu?
Daaah kuwa na huruma
 
Ringa bwana wee!we live only once mi sinaga kusifia Mtu akifa,sionagi shida kumsimamisha mtu na kuanza kumsifia atii!!!
Sema hata mimi nasifiaga sana. Rafiki zangu wanasemaga sinaga mtu mbaya kila mtu kwangu mzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nikiwaambia mtu fulani mzuri huwa hawaamini mpaka wamuone wenyewe na wanasemaga wengi ninaowasifiaga ni wa kawaida tu
 
Mmhh!kumbe mwanga anaogopa kuwangiwaa...hahaaa!!

Alimuua nani?au marehemu Layla Khatibuu eehhh!!!maana alikuaga tishio yule Dada kiukweli enzi hizooo!!!

Bimkubwa atulie tuu!mkuki kwa nguruwe!!!
Wape wape vidonge vyao.

Ushamsahau
 
Mange Kimambi katisha sana alisema kuhusu huu ubuyu. Nillikuwa nashangaa wakati mkojani binti kwenye video za Litawachoma na ile ingine eti ooh Boss mi namheshimu sana yeye kacheza na Dondola mimi nimecheza na Ally Mzuri
 
Back
Top Bottom