New couple in town
Sante[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
Ujue nakufananishaga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]na shosti angu mmoja ivi ..!!!ana mikato ya kiswazi sana!tunaelewana sana ila sio wewe!!! Yaani story zako km yeye....!!!anaishi Kino clan!
 
Sana angejibebesha asee...anampenda Domo hadi kufa kwake

Utasikia " mimi nasibu tumeanza hana kitu" na ile sauti yake [emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2]hana kitu kwioo!imebaki storyyy tuu!!
Anampenda mwenyewe maskini!
 
Yes...kuliko mademu wa Domo wotee
Kwa mshepu sawaa!ila kwa kisuraa!!Dona alifunika wotee!demu mkareee sana yule....kwa viuno mobetoo!Kwa akili za maisha Zari!kwa mapenzi alimpenda Wema mpk babu tale alikua anamtuliza mondi ashawahi kulia kipindi kile madame kanunuliwa Range sijui Nissan kwenye bday!
 
Mwacheni boss aweke mbegu bana niliwahi kumsikia hadija kopa akisema kwenye intavyiuu flani baada ya uvumi kuwa zuchu analiwa na Mondi!

Nilitegemea maneno ya busara ila cha ajabu alisema yote heri tu na pia ni raha mtoto wako kuchukuliwa ambako kwenye unafuu, yani maanake palipo na pesa! Toka pale niliacha ujinga nikaanza kutafta hela kwa namna yeyote ile[emoji28]
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahhh!daahh!
 
Wamama wa kiswahili huwa hawajali umalaya wa ma Binti zao sijui kwanini?
Acha kabissa yaani wamama wa Kiswahili hawana mda ,nilikua naishi uswahili kwetu hukoo baba akitaka kuadhibu watoto wa kike mama anakaa kati anamuambia ampige yeye,maana ndo chumio lake yaani ni mtihani kabisaa!!
 
Back
Top Bottom