New Delhi: Kafulila ateta na Makamu wa Rais wa GMR, kampuni ya 5 kwa ukubwa duniani katika ujenzi na uendeshaji wa viwanja vya ndege na ndege duniani

Hawa si ndio walipewa Kenyatta International Airport wafanyakazi wa Airports zote wakagoma nchi nzima na deal likasimama?
Kwetu wamewapokea wakina karamagi PORT na sisi fresh tu hakuna kelele wala kuuliza kitu 😛 😛
 
Tanzania 🇹🇿 ni mahiri wa maneno lakini vitendo ni sifuri
 
Mkuu Ndege zote hizi ndogo za UNHCR zinazotoka Mwanza na kutua Kibondo, Kisha Kigoma Ulikuwa hauzioni Mkuu?
Kusema kweli sijawahi kuziona. Lakini location ya kiwanja iko kimkakati zaidi iwe kwa kiutawala, kijeshi au michezo na kibiashara.
 
Kwa hiyo wameendesha Airport 2 tu za nje ya India - na hawana uzoefu wa Africa.

Baada ya kuona trip / safari hii ya New Delhi India iliyohusu viwanja vya ndege maeneo mkakati nyeti tunaletewa habari picha fupi sana, bila maelezo ya kina nikajua kuna jambo zito litatufika kama Taifa hasa Tanganyika.

TAYARI UKIONA MANYOYA, MINYAMA YA NDEGE IMELIWA

Tulipoona thread nyingi za kumsifu David Kafulila hapa JamiiForums kila baada ya siku mbili tatu , tayari tukastuka kuunganisha wakili msomi Hamza Johari kutolewa wizara inayohusika na viwanja vya ndege kusogezwa hadi kwenda kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali ambaye anaingia bungeni ikawa njia ipo safi kuleta muwekezaji baada ya deal la DP World bandari.

14 August 2024
BREAKING: HAMZA JOHARI ATEULIWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI


oag.go.tz
https://www.oag.go.tz › members
Bw. Hamza Johari - Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AGCTZ)

Hamza S. Johari was appointed as The Attorney General of The United Republic of Tanzania on August 14, 2024. Prior to this appointment, he was ....
 
Hii ni mission ya wazi
 
Kiswaswadu mbaya sana alimpora tumbili mke kibabe sana
 
Dalali.. tusubiri kina kitenge na wenzake waanze kupush ajenda.
 
Dalali.. tusubiri kina kitenge na wenzake waanze kupush ajenda.

Watu wa minyama wakwee pipa hadi New Delhi kama walivyopaa hadi Dubai kutuletea habari za DP World kisha bandari za Tanganyika zikapewa mwekezaji.
 
Soon asa possible sasa hv wapo studio wanaandaa ngonjera na vile walivyo vilaza.

Script kali tayari imeshaandaliwa jinsi ya sinema hii itakavyochezwa, maana masuala ya kiufundi ya mikataba, watetezi serikalini na bungeni wameshapangwa kilichobaki ni kuuza agenda hii kwa watanzania ambao hawana kingine ila waliotekwa na habari za vilabu viwili vya Kariakoo Dar es Salaam na kule kwa P.Diddy Sean John Combs.
 
Huu wako ni uzushi kabisa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…