New Delhi: Kafulila ateta na Makamu wa Rais wa GMR, kampuni ya 5 kwa ukubwa duniani katika ujenzi na uendeshaji wa viwanja vya ndege na ndege duniani

Hata umkileta bill gates kama rushwa Bado ipo ni kitu Bure sisi wafanabiashara wadogo tunakandamizwa Kila siku halafu unatafuta kiki huyo mkoloni anakuja kubeba mali za wajinga na kuondoka.
 
Hata umkileta bill gates kama rushwa Bado ipo ni kitu Bure sisi wafanabiashara wadogo tunakandamizwa Kila siku halafu unatafuta kiki huyo mkoloni anakuja kubeba mali za wajinga na kuondoka.
Naungana na wewe hapa ni sisi kubadili tabia tu
 
Zamani niliambiwa kuwa Vizuri ujiuza na vibaya ujitembeza. Mhe. Kafulila anauza au anatembeza?
 
Huyu ndio Adani?
 
Kuna siku Tanzània itafikia sehemu nzuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…