Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitetee uzembe na jeuri. Siku ukipoteza mzigo wako wa thamani halafu ukajibiwa jeuri ndiyo utajuaNimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Walikufanyaje?Hata huko songea huyo superfeo Ana kero zaidi ya huyo newforce...... kuhusu parcel feo ni 0.
Acha ujinga na vitisho vya kipumbavu. Kama mnatumwa waambien watanzania si wajinga kihivyo. Huu uzi utaendelea kusambazwa tena na tena ili mkome na tabia zenu za kishenziHuu uzi ni kama nilishausoma siku kadhaa zilizopita. Nadhani mleta uzi unastahili kukemewa. Unachokifanya sasa ni upuuzi. Kama kuna tatizo zaidi nenda mahakamani upate haki yako. New Force wakikugeuzia kibao utaipa taabu familia yako. Acha hiyo nia ovu.
JifingeSo what?
Kama wewe ni mhusika, ingekuwa busara kama ungeomba radhi. Kwahiyo kama haya yanatokea sana ndio tukubaliane na ujinga huo? Mzigo ukipotea inakuwa liability ya nani?! Mtu mmecheleweshea biashara zake halafu mnakuja na majibu ya namna hiyo! Bongo customer care bado sana! Kesho mkikosa wateja mnaanza maneno kibao; mara kuna ushirikina, sijuwi uchawi na mambo mengine kibao, wakati kumbe mchawi mwenyewe ni wewe mwenyewe. Kuweni waaminifu na kuwajali wateja wenu; hii ndio siri kuu ya biashara!Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Hv shirika la posta wana huduma ya kutuma mizigo aina zote mikoani?Wananchi tutumie shirika la postal mizigo utakuwa salama
Lengo hao MAKU wajirekebisheNimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Sasa mzigo wangu unaenda sumbawanga hao abood ntawapata vipi?Siku nyingine nakushahuli pakia mzigo wako Abood awa jamaa wako vizuri sana kwenye issue za mizigo, achana na New force wana viburi sana
Dar, wapo Shekilango, kituo cha mafuta cha EngenSasa mzigo wangu unaenda sumbawanga hao abood ntawapata vipi?
Wana gari inaenda sumbawanga?Dar, wapo Shekilango, kituo cha mafuta cha Engen
Mkuu, Swali lako ilikuwa ni unawapataje!Wana gari inaenda sumbawanga?