Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kubet na ajali kuna uhusiano upi MkuuHawa madogo wanao bet
Morogoro, Ilula, Ipogoro, Mafinga, Makambako, Uyole
Waache watafanya newforce afirisike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubet na ajali kuna uhusiano upi MkuuHawa madogo wanao bet
Morogoro, Ilula, Ipogoro, Mafinga, Makambako, Uyole
Waache watafanya newforce afirisike
Kuna uhusiano upi kati ya kuwa na kondakta mdada na kutopata ajali?Na wenyewe waanze kuweka wadada makondakta...ustarabu utaongezeka eti
Kwamba ni matatizo ya kiufundi ndio hupelekea ajali za New force kuwa nyingi? Yanaweza kuwa yepi Mkuu?Upo sahihi kabisa,mchina bado yupo kwenye utafiti na basi zake ili ziweze kuwa compatible na hali yetu huku Africa
Ukimaanisha nini?Ila sio salama
Kwahiyo hii ndio sababu ya ajali!Pia wana bus nyingi sana barabarani kila siku..
Kampuni kama sauli ama katarama zinaingia mara 20 kwenye kampuni ya new force
Sauli hana gari siku hiziPia wana bus nyingi sana barabarani kila siku..
Kampuni kama sauli ama katarama zinaingia mara 20 kwenye kampuni ya new force
Ukisikia tu ajali unasikia tena jina New Force/ Golden DeerUkimaanisha nini?
Ziko nyingi plus madavoo wa hovyoUkisikia tu ajali unasikia tena jina New Force/ Golden Deer
Anawawahisheni kuzimuKuna jamaa Mweusi hivi mrefu Huwa anakuwa konda ila baadae anampokea dereva aisee Yule ni balaaa.. Jamaa anakimbiza hatariii!
Inawezekana. Nilisikia mtu akisema kuwa madereva wazee wengi ktk new force wametolewa. Wamepewa vijana. Hasa route za kupitia mbeya aliyekabidhiwa gari anataka madereva vijana wanaoweza kukimbia. Inawezekana hayo ni matokeo yake. Either wazee wamereact au uzoefu kwa vijana kuendana na speed. Kwa kuwa inasemekana ukichelewa sana gari anapewa mwingine.Ushaambiwa shida ni madereva mkuu
Mziki wa New Force hata mkurugenzi Sauli mwenyewe anajua hauwezi hata waungane na Super Feo
Hv ww unaongelea ubora wa magari sokoni au idadi ya magari sokoniMchina sasa hivi ana brands nyingi za mabasi hapa Tanzania kaiacha Scania kwa mbali sana
So obvious ikitokea ajali hata kama mabasi yako 10 hukosi Chinese brands 8 au zote 10 utakuta ni Chinese brands
Kwa hapo hauna hoja ya msingi
Anakimbiza soko la duniaKwa idadi ya magari kweli mchina anakimbiza solo la bongo