Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wakushindana na conboi hapo..!Conboi canabinho ni mnyamwezi mnoo.
Kama hujaiskia til I die yake basi wewe upo namtumbo
Mgongo kwenye bed..usiku wa ma8 kaa natafakari... Ubongo kwenye bed macho kwenye Dari bwana daah... Kaua xaan mnyamwez
hajui trap ila ana force na kubebwaLunya
Acha na hip pop njoo kwenye trap upunguze stressKiukweli kwa sasa hakuna best rapper anayefikia hata robo ya rapper wa generations zilizopita
Yaani sijaona wakufikia viwango vya akina Ngwea, Jay Mo, Prof J, Fid, MwanaFA, Chid benz, Afande Sele nk
Nikiwasikiliza hawa wa sasa unaona kabisa hakuna good rhymes, flowing style ya kawaida kabisa, kunata na beatz kuko chini sana,,,, yaani wapo wapo tu ktk nyimbo zao
Kina coutry boy sio kizazi cha sasa wewe..Country boy
Unamfahamu Mex Cortez? Vipi kuhusu Cholo?Kiukweli kwa sasa hakuna best rapper anayefikia hata robo ya rapper wa generations zilizopita
Yaani sijaona wakufikia viwango vya akina Ngwea, Jay Mo, Prof J, Fid, MwanaFA, Chid benz, Afande Sele nk
Nikiwasikiliza hawa wa sasa unaona kabisa hakuna good rhymes, flowing style ya kawaida kabisa, kunata na beatz kuko chini sana,,,, yaani wapo wapo tu ktk nyimbo zao
Unamfahamu Mex Cortez? Vipi kuhusu Cholo?
Uyo dogo anabebwa tu.. leo nime download ngoma yake mpya inaitwa fimbo yani ngoma ni mbayaaaa..nikaona bora nimsikilize conboi tu japo mshkaji hatoitoi ngomaSure, mm sijawahi kumuelewa, jamaa anaongea ongea tu
Yaani mkuu umegusa mule mule sina haja ya kuandika mengi1.Conboi
Huyu jamaa hakuna anayemgusa kwenye bongo rap kama kuna mtu anashaka juu ya huyu jamaa akasikilize above average, till i die, baby -conboi ft ibrah nation na less (humo ndani kuna salmin, lunya na conboi)
2.Lunya
Huyu jamaa anajua kiasi chake lakini nina wasiwasi na uwezo wake eakutengeneza nyimbo nzuri (achana na freestyle) hajawai kuwa na wimbo nzuri zaidi ya freestyle zake ambazo sio nyimbo official.
3.rapcha
Mkali, oldskul vibe na anaweza stick kwenye mada, sema ninahisi anaugonjwa kama wa lunya wa kutokuwa na
Jamaa hatoi ngoma anazingua..Conboi ni kisanga...Above average