New hit song by Alikiba-Maumivu per day

Hahaha kama Mondy alivyobebwa na mwanaume mwenzake Davido
Ahsante kwa kunithibitishia kwamba kumbe King kaamua kubebwa na mwanaume mwenzake! Halafu nyie jamaa bhana,hivi wakati ule mnachonga mlitarajia kabisa kwamba Kiba hatakuja kuomba collabo kwa mtu?!!
 

Nimemlinganisha ice prince na hawa rappers sarkodie, aka, Casper nyovest, olamide, k.o na phyno nimekundua ice prince hafui dafu kwao
 
Forbes huwa wanatoa mkuu. Itafute utaipata. Sizungumzii mkwanja wala nini nazungumzia ubora. Swali lingine...
Hawatoi ndugu yangu... Forbes huwa wanatoa list ya watu na mikwanja yao na si vinginevyo, na tena kwa sekta tofauti tofauti vinginevyo naweza kukuuliza nani msanii bora duniani according to Forbes!!!
 
Nimemlinganisha ice prince na hawa rappers sarkodie, aka, Casper nyovest, olamide, k.o na phyno nimekundua ice prince hafui dafu kwao

Ila kwa collabo na alikiba atampush tena mbali tu. Yes kwa sasa hata kwangu Siwezi mlinganisha sakordie na ice. Ila Phyno mkuu hahahaha.

All in all prince hajachuja na kama anacollabo na Alkiba Itampush saana. Halafu jamaa anaproject na jigga sjui ni lini but this year.
 
Hawatoi ndugu yangu... Forbes huwa wanatoa list ya watu na mikwanja yao na si vinginevyo, na tena kwa sekta tofauti tofauti vinginevyo naweza kukuuliza nani msanii bora duniani according to Forbes!!!
kedrick ebu ongea na jamaa spendagi ubishi
 
Last edited by a moderator:

Haaah pyhno Ana kimbiza wewe japo sielewagi Ana choimba ila Ana style ya kipekee ice prince ndio nilionaga kuna kipindi alipiga picha na akapost insta yupo na Jigga inawezekana maana Jigga kuna kipindi alikuwa anatafuta rappers wakali toka Africa awasaini
 
Hawatoi ndugu yangu... Forbes huwa wanatoa list ya watu na mikwanja yao na si vinginevyo, na tena kwa sekta tofauti tofauti vinginevyo naweza kukuuliza nani msanii bora duniani according to Forbes!!!
chige sorry...afrranking kuna collabo ya maandishi walifanya na forbes
 
Last edited by a moderator:

Ila ingekuwa mimi ndo na rank aiseeh AKA hata top 5 nisingemweka
 
Ila ingekuwa mimi ndo na rank aiseeh AKA hata top 5 nisingemweka

Aka sio mkali Sana kazidiwa na sarkodie hata na casper nyovest japo wa south naona wanamuelewa aka kuliko Casper
 
Aka sio mkali Sana kazidiwa na sarkodie hata na casper nyovest japo wa south naona wanamuelewa aka kuliko Casper

Yeah..sarkodie jamaa anajua saana..nmependa remix yake ya ojuelegba.. AKA sio mbunifu kama wenzake angalia video ya all eyes on me then linganisha anachofanya tiger..kriss..ink
 
kedrick ebu ongea na jamaa spendagi ubishi
Aisee... kumbe kuweka kumbukumbu sawa ni ubishi badala ya wewe kunitajia hiyo list ili nami nielimike!!! Anyway, tufunge mjadala na wewe uendelee kuamini kwamba Forbes huwa wanatoa list ya wasanii bora duniani lakini mimi list yangu ya Forbes in 2015 hii hapa!!!!
 

Phyno namuelewa sanaaaa akikazana atamfunika aka
 
Asiutoe ni wimbo wa kizamani.. Bongo flavor has gone beyond. Mbaya: old skúl haumfikish popote.
 
Ni vizuri kipi kinakuvutia kwa phyno fyno

Phyno ana extraordinary flows ingawa akiimba unaeza usimuelewe kwa jins anavochanganya lugha

Bt anarepresent culture yao kwenye hip hop kitu ambacho ni msing wa hip hop and ukimskiliza huchok in short hip hop yake haiboi

Ana flow, swagg na rhymes zake ni za kipekeeee 👌
 

Kweli kabisa me pia naimbaga nyimbo zako japo sielewi anachomaanisha hadi ni Google ila Ana style ya kipekee inayo mtofautisha na wenzake 🙌🙌🙌
 
Mkuu yani hao utabishana nao hadi kesho sio kama hawaelewi ila ni ushabiki tu huo tena ushabiki maandazi
 
We jamaa muongo hio shortlist hata mmi naweza nikaandika ya kwangu
 
We jamaa muongo hio shortlist hata mmi naweza nikaandika ya kwangu

UnAjua nini kuhusu mziki we najua iyo list nikikuambia unitajie nyimbo 10 za hao wasanii utonijibu ubishi wa me nilikuwa naongea na watu wanaojua mziki sio hongei na kuhusu kibakuli hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…