Hahahaaaa....
We dalali wa MABEBERU nimeshakueleza, Tanzania chanjo ni MWIKO.
Mkadungane huko huko na mashoga wenzako!
Ni MWIKO! na MSIJARIBU.
CHANJO NI MWIKO!Ushoga wa babaako usikudanganye kwamba kila mtu ni shoga. Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Kajisemea CAG Assad that you’re suffering from Acquired Stupidity disease.
CHANJO NI MWIKO!
MWIKOO! Pumbaffu!
Dj anaendeleaje huko alikoUkweli MTUPU! Watu wengi wana magonjwa mbali mbali ya muda mrefu. Hivyo wao kupata chanjo haina maana waache kuchukua tahadhari zote za kujikinga kwani kutojikinga ni kukaribisha maambukizi na hatimaye vifo.
Una uhakika kachomwa kitu gani? Inaweza kuwa maji tu ili Ku promote hizo chanjo.Asante kwa propaganda
Ila Kigwangwala kachoma jana. Ngoja tuone kama atakufa?
Anti vaxx mnazingua sana kwa kujitoa ufahamu
Kwahyo awe na chanjo,barakoa na sanitizer muda wote mpaka afe??Ukweli MTUPU! Watu wengi wana magonjwa mbali mbali ya muda mrefu. Hivyo wao kupata chanjo haina maana waache kuchukua tahadhari zote za kujikinga kwani kutojikinga ni kukaribisha maambukizi na hatimaye vifo.
Chanjo ni asali ya mende.Naomba definition ya chanjo
😀 😀 😀 😀 😀 😀No wa mwisho ntakua Mimi..na labda nitafutwe na jeshi zima...sifanyi upuuzi wa kutestiwa hypothesis zao
Serikali imefanya kama alivyofanya pirato kwa kumuhukumu Yesu adhabu ya kifo kisha akanawa mikono kwamba yeye hajahusika kumuuaNdio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.
Basi wote waliodanja hawakuamini katika chanjo ,hivyo kama huamini usiitafute ili usije isingizia chanjo buree!Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.
Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.
Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.
Soma zaidi hapa.
New Jersey officials say nearly 50 fully vaccinated residents have died from COVID-19
New Jersey health officials say that almost 50 fully vaccinated people have died from COVID-19, according to data through July 12, NJ Advance Media reported on Wednesday.thehill.com
Kwanini unatumia lugha Kali na matusi ili ueleweke? Inaelekea hujui lolote kuhusu chanjo na inafanyeje kazi. Kwa kukuongezea uwezo nakushauri jaribu kusoma vitu uvielewe Kabla ya kutoa uzi ili uweze kutetea hoja yako kwa ushawishi wa hoja zaidiHapo propaganda ipo wapi? Hiyo habari imeripotiwa huko US ambako wao wanaamini chanjo, Sasa iweje Tena useme propaganda?
Hapo umepewa tu tahadhari kuwa chanjo haizuii corona wwla haizuii wewe kufa kwa corona.
Ila wewe jamaa ni fala Sana na mjinga mkubwa
Una uhakika kachomwa kitu gani? Inaweza kuwa maji tu ili Ku promote hizo chanjo.
Watu wasiokuwa wataalamu Wanatoa mawazo yao na kataka yawe kweli bila ushahidi. Ingekuwa watu wanapona kwa Imani Kuna ulazima gani kwa wagonjwa kwenda hospital badala ya kwenda kwenye nyumba za Imani. Hii Corona ndiyo inaonyesha uwezo wa kuelewa baadhi ya watanzania kuhusiana na magonjwaBasi wote waliodanja hawakuamini katika chanjo ,hivyo kama huamini usiitafute ili usije isingizia chanjo buree!
Soma elewa,acha kuvagaa mamboWatu wasiokuwa wataalamu Wanatoa mawazo yao na kataka yawe kweli bila ushahidi. Ingekuwa watu wanapona kwa Imani Kuna ulazima gani kwa wagonjwa kwenda hospital badala ya kwenda kwenye nyumba za Imani. Hii Corona ndiyo inaonyesha uwezo wa kuelewa baadhi ya watanzania kuhusiana na magonjwa
Tumia chanjo mkuuUkweli MTUPU! Watu wengi wana magonjwa mbali mbali ya muda mrefu. Hivyo wao kupata chanjo haina maana waache kuchukua tahadhari zote za kujikinga kwani kutojikinga ni kukaribisha maambukizi na hatimaye vifo.