Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hbr jf,
Me ni member mpya naomba ukaribisho wenu.
ahsante
SaafiiiFull name and photo plz
Huyu hapaKaribu sana.
Your photo pleaseeeeeeeeeeeeee
Karibu sana
Ila tupiamo kapicha basi
Full name and photo plz
Karibu mama. Unajua hili jiji ni kubwa sana. Nitakuwa mwenyeji wako.Kuna katikati ya mji utapotea,panaitwa JUKWAA LA SIASA. Kuna sehwmu ya Starehe na kila aina ya burudani,kunaitwa ENTERTAIMENT na pengine JOKES. Kuna sehemu penye kila aina ya usaliti na mambo yoyo panaitwa MMU na kuna sehemu pa wanawake walozi na wambea panaitwa CELEBRITIES FORUM. Kuna sehemu pa watu wazito na walioenda umri kufanya shughuli husika katika eneo hilo panaitwa MAMBO YA KIKUBWA. Kuna sehemu za kujua mambo mbalimbali hapo panajulikana kama HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO.Hbr jf,
Me ni member mpya naomba ukaribisho wenu.
ahsante
Ha ha ha haHuyu hapa
View attachment 429651
Ahsante.Karibu mama. Unajua hili jiji ni kubwa sana. Nitakuwa mwenyeji wako.Kuna katikati ya mji utapotea,panaitwa JUKWAA LA SIASA. Kuna sehwmu ya Starehe na kila aina ya burudani,kunaitwa ENTERTAIMENT na pengine JOKES. Kuna sehemu penye kila aina ya usaliti na mambo yoyo panaitwa MMU na kuna sehemu pa wanawake walozi na wambea panaitwa CELEBRITIES FORUM. Kuna sehemu pa watu wazito na walioenda umri kufanya shughuli husika katika eneo hilo panaitwa MAMBO YA KIKUBWA. Kuna sehemu za kujua mambo mbalimbali hapo panajulikana kama HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO.
Karibu sana.
weka picha tukusaminishe au mbaya sura?Ahsante.
Karibu sana sweatyHbr jf,
Me ni member mpya naomba ukaribisho wenu.
ahsante
Iko wap? Tunataka tukuone
Huyu hapa
View attachment 429651