New member: Ukisoma JF hata thread moja tu utake usitake utajiunga tu!

New member: Ukisoma JF hata thread moja tu utake usitake utajiunga tu!

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646

Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje.

Kwa miezi ya hivi karibuni since July, 2024 nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku.

Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama​
Robert Heriel Mtibeli | Mshana Jr | raraa reree | patrickk | Evelyn Salt | Joanah et al

JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)

Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
🙂
 
Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje
...

Kwa miezi ya hivi karibuni (sept,oct,nov,dec 2024) nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku
...
Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama:
• Robert Heriel mtibeli
• Mshana Jr
• Raa Ree
• Patrickk
• Evalyne Salt
• Na wengineo wengi

JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)
Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
Sawa.
 
Back
Top Bottom