Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMiaka 12!!!!!! Pongezi sana angekuwa mtoto sasa anaelekea kumaliza s/msingi
Great Thinkers....hii GT maana yake nini mkuu
New ID for an existing JF member, another fearful chameleonHabari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje
...
Kwa miezi ya hivi karibuni (sept,oct,nov,dec 2024) nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku
...
Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama:
• Robert Heriel mtibeli
• Mshana Jr
• Raa Ree
• Patrickk
• Evalyne Salt
• Na wengineo wengi
JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)
Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
Karibu sana JFHabari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje
...
Kwa miezi ya hivi karibuni (sept,oct,nov,dec 2024) nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku
...
Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama:
• Robert Heriel mtibeli
• Mshana Jr
• Raa Ree
• Patrickk
• Evalyne Salt
• Na wengineo wengi
JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)
Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
😂😂😂Angebubujikwa na machoziHukusoma za lucas Mwashambwa wewe 😂🤣
Ushiriki wako JFNimekaribia mkuu shukrani sana.
Mpaka nishakuwa Expert member najiuliza huu uexpert wa nini? kuchangia mada au uexpert wa kuwepo humu mwezi mmoja